Zimbabwe yauza Tembo wake China
Wanaharakati wa kutetea maslahi ya wanyama wameishutumu hatua hiyoZimbabwe inasema inahitaji fedha kukabiliana na uwindaji haramu, lakini mashirika ya kutetea maslahi ya wanyama yameghadhabishwa na...
View ArticleBREAKING NEWZZZZZ
Mbunge Nasari apata ajali ya HELKOPTA Mbunge wa Arumeru Mashariki Joshua Nassar amepata ajali ya helkopta na sasa amekimbizwa hospital ya Selian Arusha kwa matibabu
View ArticleSIMU ZAVUNJA NDOA:ASEMA PINDI CHANA AKIWA MKOANI NJOMBE
Naibu waziri wa maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Dokta Pindi Chana Ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Njombe WASHIRIKI WA SEMINA HIYO AMBAO NI UWT PAMOJA NA...
View ArticleKatibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akifungua warsha ya...
. Mgeni Rasmi, Katibu Mkuu Ofisi ya Makamu wa Rais Bwana Sazi Salula akifungua Warsha kuhusu mipango ya kuhimili mabadiliko ya Tabia Nchi iliyofanyika mjini Bagamoyo. Warsha hiyo imeandaliwa na Ofisi...
View ArticleIJUE SAYANSI YA NGUVU ZA KIUME
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani. Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?Ukosefu ama upungufu wa...
View ArticleIJUE SAYANSI YA NGUVU ZA KIUME
Ukosefu na/ama upungufu wa nguvu za kiume, ni tatizo linalo wakabili mamilioni ya wanaume duniani. Tatizo la ukosefu/upungufu wa nguvu za kiume ni nini ?Ukosefu ama upungufu wa...
View ArticlePROF. MWANDOSYA AWATAKA WABUNGE WA UKAWA WAINGIE BUNGENI WAKATI RAIS...
Waziri katika Ofisi ya Rais Kazi Maalum, Prof. Mark Mwandosya ametaka wabunge wote wabunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kuhudhuria bungeni kesho ambapo Rais Jakaya Mrisho Kikwete atapoingia...
View ArticleRAIS KIKWETE ASEMA JIWE LA MSINGI CHUMA CHA LIGANGA LUDEWA KUWEKWA MWEZI UJAO
chuma cha liganga na Wilayani Ludewa kilichotangazwa Kuwekwa Jiwe la Msingi Mwezi Ujao Kwa ajili ya Kuanza Kwa Zoezi la Ujenzi wa ViwandaKauli Hiyo Ameitoa Wakati Akihutubia Bunge la Jamhuri...
View ArticleIGP MANGU AZINDUA NA KUKAGUA MIRADI YA POLISI TABORA, TANGA NA SINGIDA
Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini, IGP Ernest Mangu akizungumza na wajumbe wa Kamati ya ulinzi na usalama mkoani Tabora wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika mkoa huo.Katikati ni Mkuu wa Mkoa wa...
View ArticleBREAKING NEWZZZ:RAIS KIKWETE AVUNJA RASMI BUNGE LA TANZANIA
Rais Jakaya Kikwete Amekiri Kuwa Hakuna Namna ya Kufikisha Ujumbe Kwa Jamii Zaidi ya Vyombo Vya Habari Licha ya Changamoto Zilizopo Kati ya Serikali na Vyombo Hivyo.Kauli Hiyo Ameitoa Wakati...
View ArticleRAIS KIKWETE AHUDHURIA MAZISHI YA CHIFU KINGALU WA 14 WA WALUGURU, NA...
Rais Jakaya Mrisho Kikwete akishuhudia kusimikwa kwa Kiongozi mpya wa kabila la Waluguru Chifu Kingalu wa 15 katika kijijini Kinole mkoani Morogoro Alhamisi Julai 3, 2015 kufuatia kifo cha Chifu...
View ArticleMWANASIASA ASIYEPENDWA NA WENZAKE KWA KUSEMA UKWELI
ANAONEKANA mbele ya macho ya baadhi ya wanasiasa ndani ya chama chake kama mwanachama mkorofi. Anachukiwa na wengine kwa sababu ya kutochunga ulimi wake.Lakini pia mwanasiasa huyu kijana anachukiwa na...
View ArticlePROF MWANDOSYA ATOA YA MOYONI BAADA YA KUKATWA JINA KUGOMBEA URAIS
Katika nyakati mbalimbali mataifa, na binadamu pia hupita katika vipindi vya majaribu (testing times). prof Mark Mwandosya ambae alikuwa ni mmoja Kati ya wagombea urais wa CCM ambae jina lake pia...
View ArticleMAJAMBAZI YATIKISA KATIKATI YA JIJI LA DAR ES SALAAM LEO MCHANA YATIWA MBARONI
Picha ya 1-2 ni mmoja wa watu wanaodaiwa kuwa ni majambazi akiwa mikononi mwa polisi baada ya kutiwa mbaroni Mnara wa Saa maeneo ya Stesheni Dar es Salaam leo mchana kwa madai ya kupora kiasi kikubwa...
View ArticleNJOMBE DC YAPATA MILIONI 43 KUKABILIANA NA UKIMWI
Aliyekuwa mwenyekiti wa kamati ya Ukimwi na Makamu Mwenyekiti wa Halmashauri ya Wilaya ya Njombe Bwana Shaibu Masasi Akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com Wa Kwanza Kulia ni Mkurugenzi wa...
View ArticleDKT MAGUFULI AWASILI DAR NA KUJITAMBULISHA KWA WANANCHI
Mgombea Urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania kupitia CCM Dr. John Pombe Magufuli pamoja na Mgombea Mwenza Mama Samia Suluhu wakishuka kwenye ndege mara baada ya kuwasili kwenye uwanja wa Ndege wa...
View ArticlePOLISI MKOANI DODOMA WAFAFANUA KUHUSU MAMILIONI YA NOTI YALIYOKUTWA KWA...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Dodoma,SACP David Misime Napenda kutoa taarifa fupi kuhusu tukio lililotokea tarehe 11/07/2015 majira ya saa10:00 hrs huko katika Hoteli ya St. Gasper hapa mjini Dodoma, kuwa...
View ArticleMGOMBEA URAIS WA UKAWA KUTANGAZWA NDANI YA SIKU SABA
Umoja wa Katiba ya Wananchi UKAWA umesema kuwa mgombea wao wa Urais watamtoa baada ya siku saba.Akizungumza na Waandishi wa Habari usiku huu,Mwenyekiti wa chama cha NCCR Mageuzi, Mhe. James Mbatia...
View Article