Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

SIMU ZAVUNJA NDOA:ASEMA PINDI CHANA AKIWA MKOANI NJOMBE

$
0
0

                   Naibu waziri wa maendeleo ya Jamii Jinsia na Watoto Dokta Pindi Chana Ambaye pia ni Mbunge wa Viti Maalumu Mkoa wa Njombe     
 









 WASHIRIKI WA SEMINA HIYO AMBAO NI UWT PAMOJA NA WATAALAMU MBALIMBALI WA HALMASHAURI













 PIA WAPO WATUMISHI WA DINI

Na Michael Ngilangwa Njombe


Mkuu Wa Mkoa Wa Njombe Dk.Rehema Nchimbi Amewataka Wataalamu Wa Mawasiliano TCRA Kuwasimamia Kikamilifu Wamili Na Wafanyakazi Wa Vyombo Vya Mawasiliano Hususani Simu Za Mkononi Ili Wasiwaibie Wateja Wa Mawasiliano Hayo.

Dokta Nchimbi Ametoa Wito Huo Wakati Akizungumza Na Baadhi Ya Akina Mama Wa CCM Wa UWT Wilaya Ya Njombe  Wakati Wa Semina Ya Siku Moja Iliyotolewa Na Wataalamu Kutoka TCRA Kanda Ya Mbeya.

Aidha Dk Nchimbi Ameendelea Kusisitiza Wananchi Kujiandaa Kuupokea Ugeni Unaotarajiwa Kufika  Mkoani Njombe Kwaajili Ya uwekezaji wa Rasilimali Madini Zilizopo Wilayani Ludewa Ambapo Zaidi ya Wawekezaji Elfu Sita Watafika Mkoani Hapa.

Amesema  Wakazi Wa Njombe Wanapaswa Kutambua Fursa Mbalimbali Za Maendeleo Ikiwemo Kupata Masoko Ya

Mazao Kwa Kutumia Mawasiliano  Huku Wakulima Wakitakiwa Kulima Kilimo Cha Kisasa Kufanikisha Sekta Ya Kilimo.

Awali Akimkaribisha Mkuu Wa Mkoa Wa Njombe Naibu Waziri Wa Maendeleo Ya Jamii,Wanawake,Jinsia Na Watoto Dk Pindi  Chana Amepongeza Wataalamu Wa Mawasiliano TCRA Kufika Njombe Kutoa Elimu Ya Matumizi Ya Simu Za Mkononi Ambazo Zimechangia Kuharibu Ndoa Ndani ya Familia.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles