BREAKING NEWZZZZZ-FREDRICK WEREMA ATANGAZA KUNG'ATUKA
Mwanasheria Mkuu wa Serikali ya Tanzania, Jaji Frederick Werema amejiuzulu nafasi yake hiyo kuanzia jana, Jumanne, kufuatia sakata la uchotaji wa fedha kutoka akaunti ya ESCROW ambapo zaidi ya dola...
View ArticleBOMU LAJERUHI ASKARI SONGEA,LAMUUWA MLIPUAJI SIKU YA X MASS
Mtu mmoja ambaye hajatambulika jina lake na anakotoka amefariki dunia baada ya kulipukiwa na bomu huku utumbo wake ukiwa nje na mkono wake kukatika alilotaka kuwarushia askari polisi waliokuwa doria...
View ArticleMJI WA NJOMBE WAENDELEA KUNG'AA KWA LAMI
Hii ni barabara ya kuelekea magereza Mjini Njombe kutoka sasa muda sio mrefu huenda wakazi wa mtaa wa Nzengelendete( kambarage) wakaanza kupata huduma ya usafili wa daladala kwani kama unavyoona lami...
View ArticleAJALI YA LORI LA SHABA NYORORO IRINGA, MAGARI YAKWAMA TANGU dEC 28 SAA 10 JIONI
Watumiaji wa barabara ya Iringa Njombe wamekwama toka jana majira ya saa 10 jioni kufuatia ajali ya lori lililobeba shaba lenye namba za usajili T 261 BCM linalovuta tela lenye namba za usajili T 595...
View ArticleWaziri Mwandosya akagua Miradi ya Umwagiliaji ,Busokelo, Rungwe
Waziri wa Nchi,Ofisi ya Rais (Kazi Maalum),Prof. Mark Mwandosya (wa pili kulia) akipata maelezo ya Mradi wa Umwagiliaji wa Mbaka.Utakapo kamilika Mradi utakuwa na uwezo wa kumwagilia hekta 600 kwenye...
View ArticleHALMASHAURI YA MJI NJOMBE IMEANZA KUWAAPISHA VIONGOZI WA SERIKALI ZA MITAA...
MWANASHERIA MSAIDIZI WA HALMASHAURI YA MJI WA NJOMBE BAHATI KIKOTI HAPA NI MTAA WA MGENDELA ZOEZI LA KUAPISHWA LILIFANYIKA LEO MTAA WA NATIONAL HOUSING NDIYO HAPA Hakimu Wa Mahakama Ya Mwanzo Mjini...
View ArticleMKOA WA NJOMBE UTAINGIA KWENYE HISTORIA YA DUNIA KUPITIA UTAJIRI WA LUDEWA
DOKTA KIGODA AFANYA ZIARA WILAYANI LUDEWA NA KUSHUHUDIA MADINI HAYONa Gabriel Kilamlya LudewaWaziri wa Viwanda na Biashara Dkt Abdalah Kigoda Amesema Anatamani Kuona Rais Jakaya Kikwete Anashuhudia...
View ArticleAJALI YA BASI NA LORI IRINGA YAUA ZAIDI YA WANNE LEO
Abiria wa basi la Panuel wakitoka katika basi hilo baada ya kupata ajali Basi la kampuni ya Panuel lenye namba za usajili T 919 DCD kulia likiwa limegongana na lori usajili T 122 ALW mali ya...
View ArticleMGOMBEA NAFASI YA UNEC CCM WILAYA YA NJOMBE Christian Fwalo AFARIKI
Kada wa CCM mjini Iringa Bw Frederick Mwakalebela katikati akiwa na Chritian Fwalo kulia (enzi za uhai wake ) walipokutana mjini Dodoma mwaka 2010 wakati mwakalebela alipokatwa jina lake...
View ArticleMATUKIO YA UHALIFU NJOMBE YAONGEZEKA KWA 1.65% UKILINGANISHA NA MWAKA ULIOPITA
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe SACP Fulgency Ngonyani .Na Michael Ngilangwa NJOMBEJeshi La Polisi Mkoani Njombe Limetoa Taarifa Ya Uhalifu Wa Makosa Ya Jinai Kwa Mwaka 2013/2014 Kuwa...
View ArticleKITUO KIKUU CHA UMEME KIWANDA CHA KARATASI MGOLOLO CHALIPUKO , MUFINDI...
Transformer ya kiwanda cha karatasi mgololo yalipuka na kuwaka moto leo Magari yakiwa eneo la Kiwanda hicho Moto ukiendelea kuwaka katika eneo hilo la kiwanda cha karatasi mgogolo Wananchi...
View ArticleMIFUGO YAUWAWA KWA SUMU ISIMANI IRINGA
Mifugo mbali mbali iliyouwawa kwa sumu katika mgogoro wa ardhi kijiji cha Ismani wilaya ya Iringa Ng'ombe aliyeuwawa kwa sumu Wananchi wa Kijiji cha Isimani wilaya ya Iringa wakitazama...
View ArticleRAIS KIKWETE AONGOZA KIKAO CHA BARAZA LA MAWAZIRI CHA KWANZA KWA MWAKA 2015
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiongoza kikao cha Baraza la Mawaziri chakwanza kwa mwaka huu wa 2015 Ikulu jijini Dar es salaam leo January 16, 2015. Kulia kwake ni Makamu wa Rais Dkt Mohamed Gharib...
View ArticleMSAJILI WA VYAMA VYA SIASA ATOA WASIA KWA VYAMA HIVYO
NA MAGRETH KINABO – MAELEZO.MSAJILI wa Vyama Vya Siasa nchini, Jaji Francis Mutungi amevitaka vyama vyote vya siasa kutekeleza wajibu wao kwa mujibu wa sheria , katiba na kanuni ili kuepusha migogoro....
View ArticleWAKAZI NJOMBE WASHANGAZWA KUTOSHUKA KWA BEI YA NAULI WAKATI MAFUTA YAMESHUKA
Na Gabriel Kilamlya NJOMBEWakati Serikali Ikishusha Bei ya Mafuta Kwenye Vituo Mbalimbali Hapa Nchini,Wananchi Mkoani Njombe Wameshangazwa Kuona Hadi Sasa Nauli za Mabasi Hazijashuka.Wakizungumza Kwa...
View ArticleDIA NA ZANZIBAR ZATILIANA SAINI YA KUANZISHWA KWA OFISI YA KUTANGAZA UTALII...
Kulia ni Katibu Mkuu wa Wizara ya Habari, Utamaduni, Utalii na Michezo Zanzibar na kushoto ni Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya JIHIL ENTERPRISES ya India Nd. Jilesh H. Babla wakitiliana saini mkataba...
View Article