MAADHIMISHO YA SIKU YA WANAWAKE DUNIANI KUFANYIKA MACHI 8, 2015
Tarehe 8 Machi, 2015 Tanzania itaungana na nchi wanachama wa Umoja wa Mataifa kuadhimisha Siku ya Wanawake Duniani. Kwa mwaka huu, tunaadhimisha siku hii adhimu katika ngazi ya kitaifa ambapo mkoa wa...
View ArticleBODI YA BARABARA MKOA WA DODOMA YAZITAKA HALMASHAURI ZA WILAYA DODOMA...
Mkuu wa Mkoa wa Dodoma na Mwenyekiti wa Bodi ya Barabara ya Mkoa wa Dodoma Mhe. Chiku Gallawa akifugua Mkutano wa bodi hiyo Feb. 17,2015 Mjini Dodoma.Wajumbe wa Bodi ya barabara ya Mkoa wa Dodoma...
View ArticleMTWARA YAISHUKURU WIZARA YA NISHATI YA MADINI KWA KUDHIBITI MMOMONYOKO WA...
Mkuu wa Mkoa wa Mtwara, Halima Dendegu (aliyenyoosha mkono), akimwonyesha Waziri wa Nishati na Madini, George Simbachawene, jinsi maji ya bahari yalivyoathiri eneola MnaziBay, karibu na kampuni ya...
View ArticleASASI YA “AIDS – FREE” KUSAIDIA MAPAMBANO DHIDI YA UKIMWI NDANI YA JESHI LA...
Mkurugenzi wa Mradi wa "AIDS free", Bw. Samson Kironde(wa pili kushoto) akitoa maelezo mafupi namna mradi huo utakaotekelezwa ndani ya Jeshi la Magereza na Polisi katika mazungumzo rasmi yaliyofanyika...
View ArticleRC NJOMBE DKT REHEMA NCHIMBI AWATAKA WAKULIMA KUMALIZA TOFAUTI ZAO NA...
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi Na Gabriel Kilamlya Njombe Mkuu Wa Mkoa wa Njombe Dokta Rehema Nchimbi Amewataka Wakulima Kwenda Kuketi Katika Meza ya Mazungumzo na Wafugaji Ili Kumaliza...
View ArticleUANDIKISHAJI WA DAFTARI LA WAPIGA KURA WAANZA RASMI WILAYA YA NJOMBE MJINI...
Mkuu wa wilaya ya Njombe Sara Dumba akiongea na wananchi.Zoezi la uandikishwaji kwa daftari la kudumu umenza hii leo na kufanyika mjini makambako pamoja na vijiji vyake ambapo mbali na watu kujitokeza...
View ArticleMWANAHABARI SHIRIKA LA DARAJA LETU NJOMBE AFA KWA AJALI YA GARI
Dereva wa Shirika la Daraja Letu Akiwa Hospitali Baada ya Kupata Ajali na Kusababisha Kifo Cha Mwanahari Brito Haule Mkoani Njombe
View ArticleRC-NJOMBE DKT NCHIMBI ATOA TAMKO JUU YA WAFANYABIASHARA WANAOENDELEA KUFUNGA...
Asema ataanza kupambana Nao. Mkuu wa Mkoa wa Njombe Dokta Rehema NchimbiNa Gabriel Kilamlya NjombeKitendo Cha Wafanyabiashara Kufunga Maduka Yao Kwa Kile Wanachodai ni Kuwaunga Mkono Wafanyabiashara...
View ArticleALBINO WASABABISHA VURUGU IKULU DAR
Ikulu ya Tanzania DAR ES SALAAMImeelezwa Kuwa Vurugu zilizofanywa na baadhi ya walemavu wa ngozi Albino katika Ikulu Jijini Dar es Salaam zimesababisha kuahirishwa kwa kikao kati ya viongozi wao na...
View ArticleTabora wafurahia huduma za madaktari Bingwa
Na Grace Michael, TaboraWAGONJWA waliofika na kupata huduma za Madaktari Bingwa ambao wapo kwenye mpango unaoendeshwa na Mfuko wa Taifa wa Bima ya Afya wamefurahia huduma hizo na kusema kwamba zimeokoa...
View ArticleDC MPYA WANGING'OMBE FREDRICK MWAKALEBELA AOMBA USHIRIKIANO ZAIDI TOKA KWA...
Picha ya Pamoja na Mkuu Mpya wa Wilaya ya Wanging'ombe Fredrick Mwakalebela Katikati na Mkuu wa Wilaya ya Muheza Mkoani Tanga Esterina Kilasi Aliyehamishwa Wilayani Humo Baada ya Makabidhiano Wakuu wa...
View ArticleHOFU YA EBOLA YATANDA MKOA WA IRINGA
Mwili wa mgonjwa wa Ebola ukitolewa Wodini huku Liberia picha na maktabaWAKATI ukimwa wa ugonjwa wa Ebola ukiwa umetawala wakazi wa mji wa Iringa mkoani Iringa wapo katika hofu kubwa...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM NDUGU KINANA AENDELEA NA ZIARA YAKE JIMBO LA KIBAKWE...
Pichani Msafara wa Katibu Mkuu,Ndugu Abdulrahman Kinana ukielekea jimbo la Kimbakwe Wilayani Mpwapwa mapema leo asubuhi kuendelea na ziara yake ya siku 9 mkoani Dodoma ya Kuimarisha uhai wa...
View ArticleMkanyagano watokea katika kivuko Kenya
Ripoti zinasema kuwa mkanyagano umetokea katika kivukio cha Ferry katika eneo la Likoni huko Mombasa Kenya na kusababisha mamia ya watu kujeruhiwa.Tukio hilo limejiri baada ya ferry tatu...
View ArticlePalestina yakomesha ushirikiano na Israeli
Mamlaka ya kipalestina Palestine Liberation Organisation imekomesha ushirika wake wa usalama na Israel.Ushirikiano huo ulikuwa sehemu ya makubaliano ya Oslo mwaka wa 1993.PLO imesema kamati yake kuu...
View ArticleNJOCOBA yATOA MKOPO WA TSHs. milioni 147 KWA WAKULIMA KWA AJILI YA PEMBEJEO...
Na Gabriel Kilamlya NJOMBEJumla ya Kaya 758 Mkoani Njombe Zimefanikiwa Kupatiwa Mkopo wa Pembejeo za Ruzuku za Kilimo Kupitia Benki ya Wananchi Njombe NJOCOBA.Kaya Hizo Zilizonyingi ni Zile...
View ArticleUANDIKISHAJI WA BVR NJOMBE KUHITIMISHWA APRILI 12,2015
Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), imesema mchakato wa uandikishaji wa Daftari la Kudumu la Wapigakura mkoani Njombe utakamilika Aprili 12 Mwaka Huu.Kwa mujibu wa taarifa ya NEC kwa vyombo vya habari,...
View ArticleTaswira : Mkutano wa CHADEMA uwanja wa Town School Tabora
Huu ni Mkutano wa CHADEMA uliofanyika kwenye uwanja wa Town School Tabora (P.T)
View ArticleWANANCHI MDANDU WANGING'OMBE WAKABIDHIWA RASMI MRADI WA MAJI
Mkuu Mpya wa Wilaya ya Wanging'ombe Fredrick MwakalebelaNa Gabriel Kilamlya Wanging'ombeSerikali ya kijiji cha Mdandu Wilayani Wanging'ombe Mkoani Njombe Hii Leo imekabidhiwa mradi wa maji Toka Kanisa...
View ArticleIDADI YA WAGANGA WALIOKAMATWA GEITA KWA UPIGAJI RAMLI CHONGANISHI YAFIKIA 32
Polisi wamewakamata waganga 32 wa kienyeji kazkazini magharibi mwa jimbo la Geita katika juhudi za kukabiliana na mauaji ya Albino.Siku ya Alhamisi ,watu wanne walihukumiwa kifo kwa mauaji ya mwanamke...
View Article