KINANA AITAKA SERIKALI KURAHISISHA UTOAJI WA LESENI KWA...
Wananchi wa Ngara mjini wakishangilia jambo katika mkutano wa hadhara wa CCM KATIBU wa Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akiwahutubia wakazi wa mji wa Ngara Mjini kwenye mkutano wa hadara,Nape...
View ArticleKONGAMANO LA VIJANA WAKATHOLIKI TANZANIA LAHITIMISHWA NJOMBE LEO
Maandamano ya Kuanza Misa Katika Uwanja wa Shule ya Mtakatifu Bakita Mjini Njombe Leo.Askofu wa Jimbo Kuu la Songea Mhashamu Damian Denis Dallu Akihubiri Katika Misa ya Kongamano la Vijana Wakatholiki...
View ArticleKATIBU WA CHADEMA MKOA WA NJOMBE ALATANGA NYAGAWA ATANGAZA RASMI NIA YAKE YA...
Mwanasiasa Mkongwe Alatanga Nyagawa Ambaye ni Katibu wa CHADEMA Mkoa wa Njombe Akitangaza Rasmi Nia Yake ya Kugombea Ubunge Jimbo la Njombe Kusini LeoNa Gabriel Kilamlya NjombeKatibu wa Chama Cha...
View ArticleMUFTI MKUU WA TANZANIA SHEIKH ISSA BIN SHAABAN SIMBA AFARIKI DUNIA
MUFTI Mkuu wa Tanzania, Sheikh Issa Bin Shaaban Simba, enzi za uhai wake. Habari zilizofika chumba chetu cha habari mapema asubuhi leo na kuthibitishwa na mamlaka husika zinasema Mufti Mkuu wa...
View ArticleSIKU YA MTOTO WA AFRIKA JUNI 16 ITUMIKE KUTAFUTA HAKI ZA WATOTO
Mmoja Kati ya watoto nchini akiwa katika ajira mbaya Kesho ni siku ya Mtoto wa afrika tushirikiane kupinga ajira mbaya kwa watoto tusiwape watoto ajira mbaya tuwape elimu bora pinga ajira mbaya boresha...
View ArticleLUKUVI ATOA MSAADA WA PIKIPIKI 16 KWA MAKATIBU KATA WA CCM JIMBONI KWAKE
Makatibu kata wa CCM jimbo la Isimani wakiwa wamezunguka pikipiki 16 zilizotolewa na mbunge wao Wiliam Lukuvi kwa ajili ya kuwasaidia katika shughuli za kila siku Katibu wa CCM mkoa wa Iringa Hassan...
View ArticleMIILI YOTE 23 YA AJALI YA BASI LA ANOTHER G NA LORI MUFINDI IRINGA...
Mkuu wa wilaya ya Mufindi mkoani Iringa Bi Mboni Mhita kushoto akiwa na wajumbe wa kamati ya ulinzi na usalama wilaya hiyo ya Mufindi katika kuwatembelea wagonjwa katika Hospitali ya wilaya ya...
View ArticleRais Kikwete aongoza maelfu ya Waislam kwenye Mazishi ya Sheikh Mkuu wa...
Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete akiweka udongo kwenye Kaburi la Marehemu Sheikh Mkuu wa Tanzania, Mufti Issa Shaaban bin Simba, aliezikwa leo Juni 16, 2015 kwenye Makaburi ya Waislam, Nguzo Nane Mkoani...
View ArticleMWENYEKITI WA CHADEMA JIMBO LA NJOMBE KUSINI ALLY MHAGAMA [DOKTA SAGASAGA]...
Mwenye Mtandio mwekundu ni mwenyekiti wa CHADEMA Jimbo la Njombe Kusini Bwana Ally Mhagama Ambaye Anatarajia Kutangaza Nia ya Kugombea ubunge jimbo Hilo Siku ya Juma Pili ya Wiki Hii. Na Gabriel...
View ArticleWapinzani wapinga muhula wa 3 wa Kagame
Rais Paul Kagame wa Rwanda Wapinzani wa rais wa Rwanda Paul Kagame wameshtumu mapendekezo ya kuifanyia mabadiliko katiba ili kumruhusu kuwania muhula wa tatu.Zaidi ya raia milioni 7.3 wametia sahihi...
View ArticleRISALA YA MWEZI MTUKUFU WA RAMADHAN
Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Alhaj Dk.Ali Mohamed Shein akitoa Risala ya Mwezi Mtukufu wa Ramadhan kwa Wananchi na Waislamu wote nchini katika Risala hiyo amewataka Wananchi...
View ArticleWatumishi wa Umma watakiwa kukamilisha maandalizi ya uchaguzi mkuu vizuri.
katibu kiongozi Balozi Ombeni Sefue.…………………………………………………………NA SALMA NGWILIZI-MAELEZO WATUMISHI wa Umma wametakiwa kufanya kazi kwa bidii na weledi ili kuhakikisha kuwa maandalizi ya Uchaguzi Mkuu...
View ArticleZANZIBAR YAADHIMISHA SIKU YA KUPAMBANA, USAFIRISHAJI NA MATUMIZI YA DAWA ZA...
Waandamanaji katika maadhimisho ya siku ya kupambana na usafirishaji na matumizi ya dawa za kulevya Duniani wakipita mbele ya mgeni rasmi katika kiwanja cha Kombawapya. Picha na Makame Mshenga-Maelezo...
View ArticleOmbeni Sefue -afungua kongamano la Wiki ya Utumishi wa Umma juni 17,2015 Dar...
Katibu Mkuu Kiongozi Balozi Ombeni Sefue akifungua kongamano la Wiki ya Utumishi wa Umma lililofanyika leo kwenye ukumbi wa mikutano wa Mwalimu Julius Nyerere jijini Dar es Salaam. Katibu Mkuu...
View ArticleLOWASSA APATA UDHAMINI WA KISHINDO MKOANI TANGA, WANACCM 24,125 WAMDHAMINI
Waziri Mkuu Mstaafu, Mh. Edward Lowassa akizungumza na maelfu ya wanaCCM na wananchi wa Mkoa wa Tanga, waliojitokeza kwa wingi kwenye Ofisi za Chama Cha Mapinduzi, Mkoa wa Tanga leo Juni 17, 2015....
View ArticleKiongozi wa chama cha ACT Wazalendo Zitto Kabwe apata mapokezi makubwa mjini...
Kiongozi wa chama cha ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, akiwapungia mkono wakazi wa mji wa Kigoma jana wakati akiwasili kabla ya kufanya mkutano wahadhara wa kutambulisha viongozi wa chama hicho.Mwenyekiti...
View ArticleMuuaji wa kanisani Charleston ashtakiwa
Mshukiwa wa mauaji ya kanisani nchini Marekani ameshtakiwa na mashtaka tisa ya mauaji Mshukiwa wa mauaji ya watu tisa katika kanisa la kihistoria la Kiafrika katika mji wa Charleston ameshtakiwa na...
View ArticleKATIBU MKUU WA CCM NDUGU ABDULRAHMAN KINANA AITIKISA KATORO MKOANI GEITA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akionyesha ishara mbalimbali kwa msisitizo wakati akiwahutubia wananchi katika mkutano wa hadhara uliofanyika kwenye mji mdogo wa Katoro jimbo la Busanda...
View ArticleMawaziri 2 washtakiwa na ufisadi Kenya
Waziri wa ardhi nchini Kenya aliyesimamishwa kazi Charity Ngilu amefikishwa mahakamani na kujibu mashtaka ya kuwazuia maafisa wa shirika la kupambana na ufisadi kuchunguza stakabadhi za ardhi moja...
View Article