Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

USHAHIDI wA KESI YA MUWAJI YA MWANAHABARI MWANGOSI KUENDELEA JUMA TATU

Mahakama  kuu  kanda ya Iringa imehairisha kesi ya aliyekuwa yamtuhumiwa wa mauaji ya mwaandishi wa habari Daudi Mwangosi hadi jumatatusaa sita mchana baada ya mahakama kuchukua maoni ya wazee wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. MENGI ACHANGIA MADAWATI 1,000, ATOA SOMO KWA WATU MATAJIRI

Katika kuunga mkono jitihada za Rais Magufuli za kuhakikisha tatizo la madawati nchini linamalizika hadi kufikia Juni, 30 mwaka huu, Mkurugenzi Mkuu wa Mashirika ya IPP, Dk. Reginald Mengi ametoa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC WANGING'OMBE:NITANG'OOKA NA WATENDAJI WATAKAONIKWAMISHA KWENYE MADAWATI

 Mkuu wa wilaya ya Wanging'ombe Dokta Asumpta Mshama Asema Atawatanguliza Maofisa Watendaji watakaoshindwa kukamilisha utengenezaji madawati ndipo yeye afuateNa Gabriel Kilamlya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUTANO WA NNE WA MWAKA WA WANASAYANSI WAFUNGULIWA NA MAKAMU WA RAIS SAMIA...

 Makamu wa Rais Mhe. Samia Suluhu Hassan akihutubia kwenye ufunguzi wa mkutano wa nne wa mwaka wa wanasayansi kutoka ndani na nje ya nchi ulioandaliwa na Chuo Kikuu cha Sayansi na Tiba Muhimbili...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA KIJIJI CHA MTEWELE WAISHIO MAKAMBAKO WASAIDIA MADAWATI WILAYA YAO...

 Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Dokta Asumpta Mshama Akiwa na Wakazi wa Kijiji cha Mtewele pamoja na WanafunziBaadhi ya wakazi wa kijiji cha Mtewele Wilayani Wanging'ombe wakiwa kwenye picha ya Pamoja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE. SAMIA SULUHU AKUTANA NA WAZIRI KUTOKA MALAYSIA NA MAKAMU...

 Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akizungumza na Waziri asiye na Wizara Maalum katika Ofisi ya Waziri Mkuu wa Malaysia na Mkurugenzi Mtendaji wa kitengo kinachoshughulikia masuala ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri mkuu wa Uingereza KUJIUZULU BAADA YA SIKU 90

Image copyrightGETTYImage captionWaziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwaWaziri mkuu wa Uingereza, David Cameron, ametangaza atajiuzulu, baada ya kushindwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MASENZA AKWEPA ADHABU YA RAIS DR MAGUFULI ,ATEKELEZA AGIZO LA MADAWATI

Mkuu  wa  mkoa  wa Iringa  Amina Masenza  akitazama  madawati  yaliyokamilika kulia ni  afisa  habari wa Manispaa ya  Iringa  Sima BingilekiMkuu  wa  mkoa  wa  Iringa  Amina Masenza  kulia  akimkabidhi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

10 WAJERUHIWA KWA AJALI YA BASI MKOANI IRINGA

Eneo la  ajali  kona ya  kisima  cha  bibiDamu  zikiwa zimetapakaa eneo la  tukio  baada ya  kumtoa majeruhi  aliyekuwa hoi kwa kubanwa na gariWananchi  wakitazama ajali  hiyoBaadhi ya majeruhi wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RIPOTI YA KUUNGUA KWA VIAZI MVIRINGO NJOMBE HADHARANI

TAARIFA YA UCHUNGUZI WA UGONJWA WA UKUNGU WA VIAZI MVIRINGO MKOA WA NJOMBEAfisa Kilimo Mwandamizi Halmashauri ya Mji wa Njombe Nolasco Kilumile Akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com juu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE HUENDA IKAFUTWA KWA KUTOFIKIA 80% YA...

Katibu tawala Wilaya ya Njombe Joseph Chota  atoa ripoti ya mwenendo wa Ukusanyaji mapato ya Ndani Katika Halmashauri tatu za Wilaya yake ya Njombe Na Gabriel Kilamlya NJOMBEHalmashauri ya Wilaya ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BILIONI 3.2 KUJENGA MAJENGO YA WAGONJWA WA NJE[OPD]MKOA WA NJOMBE

 Mkandarasi wa kampuni ya kichina ya SIETCO Akikabidhiwa Nakala ya mkataba wa ujenzi wa Wodi ya wagonjwa wa Nje[OPD] Mkoa wa Njombe baada ya kusainiwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe mwenye kitambaa kichwani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Takukuru na TRA wataja mwizi EFDs

Mkurugenzi Mkuu wa TAKUKURU, Valentino MlowolaMAMLAKA ya Mapato Tanzania (TRA) kwa kushirikiana na Taasisi ya Kuzuia na Kupambana na Rushwa (TAKUKURU) hatimaye wametaja mfanyabiashara ambaye...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA MKOA WA MBEYA ATEMBELEA PANDAHILL PATAKAPOCHIMBWA MADINI ADIMU...

Mkurugenzi wa kampuni ya Pandahil limited ndg Derick ambayo ndiyo inahusika na uchimbaji wa madini ya adimu aina ya Niobium ambayo hutumika kutengeneza Ndege na computer katika eneo la Songwe Gerezani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOUR YA WASANII KATIKA MIKOA YA NYANDA ZA JUU KUSINI

 Msaani wa muziki wa Bongo Flavour Linex Linenga Akiwa na Mmiliki wa Mtandao huu Gabriel KilamlyaWa Pili Toka Kulia ni Msanii wa HIP HOP Tanzania Kalah Jeremiah Akiwa mjini Njombe kwa ajili ya show...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MBUNGE WA MAKAMBAKO DEO SANGA[JAH PEOPLE]AGAWA PIKIPIKI NA BAISKELI KATIKA...

 Baadhi ya Pikipiki zilizotolewa na mbunge wa Makambako Deo Sanga[JAH PEOPLE]Kwa wakazi wa Jimbo la Lupembe ambalo awali lilikuwa Jimbo Lake Kabla ya Kugawanywa. Viongozi wa Chama Cha Mapinduzi ccm...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mizengwe YADAIWA KUSUKWA Kumng’oa Naibu Katibu Mkuu Zanzibar Vuai Ali Vuai

Wakati Mkutano Mkuu wa Chama cha Mapinduzi (CCM) unatarajiwa kujadili ajenda kadhaa ikiwamo ya Rais John Magufuli kukabidhiwa uenyekiti wa chama ngazi ya taifa, baadhi ya wajumbe wameanza kupika zengwe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Polisi Asimamishwa Kazi Kwa Kosa la Kulipa Malipo...

Katibu  Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi Meja Jenerali Projest Rwegasira amemsimamisha kazi Mhasibu Mkuu wa Jeshi la Frank Charles Msaki kutokana na makosa ya kufanya malipo hewa yaani kulipa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kijana apachikwa jina ‘Mkereketwa wa Mwendokasi’ baada ya kumfanyia DUA Rais...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli hivi karibuni katika ziara zake alikutana na kijana aliyemshangilia kwa nguvu zake zote hali ambayo ilimfanya mkuu huyo wa nchi kumwita...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Watano wauawa katika maandamano ya kupinga mauaji ya Weusi Marekani

Askari watano wa Jeshi la Polisi jana waliuawa kwa kudunguliwa na mtu asiyejulikana mitaa ya Dallas nchini Marekani, wakati wa maandamano makubwa ya kupinga mauaji ya watu wawili weusi yaliyofanywa na...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live