Stanbink Benki Tanzania yatakiwa kuilipa Serikali zaidi ya bilioni 13 kwa...
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi...
View ArticleKATIBU MKUU WIZARA YA UCHUKUZI AFANYA ZIARA TRL
Katibu Mkuu wa Wizara ya Uchukuzi Shabani Mwinjaka akizungumza na waandishi wa habari wakati alipofanya ziara katika Shirika la Reli Tanzania (TRL)ili kuhakikisha ufanyaji kazi wa shirika hilo...
View ArticleWAVVU NJOMBE WALIA NA MANYANYASO TOKA KWA WAHUDUMU
Mkurugenzi wa Shirika Lisilo la Kiserikali la SHISO Linalojishughulisha na Utoaji Elimu na Ufuatiliaji wa Miradi Mbalimbali Kwa Watu Wanaoishi na Virusi Vya UKIMWI Katika Halmashauri ya Mji wa Njombe....
View ArticleTaarifa ya Balozi Sefue kuhusu kurejeshwa fedha
Katibu Mkuu Kiongozi Mh. Ombeni Sefue akitoa taarifa ya serikali kuhusu kesi ya SFO dhidi ya Standard Bank.…………………………………………………………………………………………………………Utangulizi1.1 tarehe 30 Novemba, 2015, mahakama...
View ArticleWATUMISHI NANE WA TRA WAPANDISHWA KIZIMBANI LEO
Mshitakiwa namba moja katika kesi ya kuhujumu uchumi, Tiagi Masamaki (katikati) na washitakiwa wenzake wakitoka Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu Dar es Salaam leo mchana baada ya kusomewa mashitaka...
View ArticleMkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwa nchi za...
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) na Msemaji wa Serikali Bw. Assah Mwambene akifunga Mkutano wa 10 wa uhamaji kutoka mfumo wa Analogia kwenda Digitali kwanchi zaJumuiya ya Maendeleo ya Nchi za...
View ArticleMAGEREZA KUHAMASISHA UTALII WA NDANI KATIKA MIAKA 54 YA UHURU WA TANGANYIKA
Kamishna Jenerali wa Jeshi la Magereza John Minja akiwasilia katiki viwanja vya Magereza Mkoa wa Kilimanjaro kwa ajili ya hafla ya kukabishi bendera kwa watumishi 39 wa Jehi hilo wanaotarajia...
View ArticleMWENYEKITI Mpya WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE VALENTINO HONGORI LEO...
HUYU NDIYE MWENYEKITI WA HALMASHAURI YA WILAYA YA NJOMBE VALENTINO HONGORI AKIHUTUBIA MADIWANI NA WATUMISHI WA HALMASHAURI MBUNGE WA JIMBO LA LUPEMBE JORAM HONGORI AKITOA NASAHA MBELE YA MADIWANI...
View ArticleTANESCO NJOMBE WATAKIWA KUJIFUNZA TANWATT JUU YA NGUZO ZA UMEME ZINAZOZALISHWA
KatibuMkuu Wizara ya Viwanda na Biashara Juma Uledi Atembelea Kiwanda Cha TANWATT Kibena Njombe wa Pili Toka KushotoNJOMBEShirika la Umeme nchini Tanzania TANESCO Mkoa wa Njombe limetakiwa kwenda...
View ArticleWALIMU WA SKULI MBALI MBALI ZA WILAYA WAPATIWA MAFUNZO YA MICHEZO NA KAMATI...
Mkufunzi wa Mafunzo ya Walimu wa Michezo wa Skuli yaliyoandaliwa na Kamati ya Olimpiki Tanzania (TOC) Suleiman Mahmoudu Jabiri akitowa maelezo kwa washiriki katika siku ya mwisho ya mafunzo hayo...
View ArticleWATENDAJI WA TAMISEMI WATAKIWA KUSIMAMIA SHERIA KUHUSU USAFI, UJENZI HOLELA,...
Katibu Mkuu wa Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa(TAMISEMI), Jumanne Sagini wakati akizungumza na watendaji mbalimbali wa ofisi hiyo leo katika mkutano wa kikazi uliofanyika...
View ArticleAJALI YA BODA BODA USIKU HUU IRINGA
Dereva bodaboda ambae jina lake halikuweza kupatikana akiomba msamaha baada ya kupigwa na wananchi kwa kosa la kumgonga Mzee mwendesha baiskeli Eneo la Mwang'ingo Mjini Iringa barabara kuu ya Iringa...
View ArticleMagufuli atangaza baraza la mawaziri
Image copyrightStatehouse TanzaniaImage captionDkt Magufuli amesema bado anatafuta watu wa kujaza nafasi nneRais wa Tanzania John Magufuli ametangaza baraza lake la mawaziri ambalo kwa sasa lina...
View ArticleMGOMO WA WAFANYAKAZI WA UPANUZI WA BARABARA DHIDI YA KAMPUNI YA KICHINA...
Wafanyakazi wa Upanuzi wa Barabara wakizungumza na Vyombo Vya Habari Leo Mlinzi wa Kampuni Hiyo ya Kichina Iliyozua Hali ya Sintofahamu Dhidi ya Wafanyakazi Wake wa Kwanza Kulia ni Meneja Mradi wa...
View ArticleKatibu Mkuu Kiongozi awaasa watanzania kuzingatia Maadili katika Utumishi
Na Jacquiline Mrisho -MAELEZO Watanzania wameaswa kuzingatia Maadili ya Kitaifa ambayo ni kiini cha kuboresha na kusimamia maadili ya viongozi, watumishi wa Umma na watu wanaojishughulisha na sekta...
View ArticleMAZOEZI YA VITENDO WAKATI WA KUHITIMISHA MAFUNZO YA AWALI KWA WAHITIMU WA...
Askari wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, wakiwa wamebeba mfano wa majeruhi wa ajali, mara baada ya kumuokoa kutoka eneo la tukio wakati wa maonyesho ya kufunga mafunzo ya kozi ya awali ya Sajini na...
View ArticleTume ya Mipango yatembelea Kiwanda cha Karatasi Mufindi IRINGA
Magogo ambayo yanasagwa na kuwa vipande vidogo vidogo ambavyo vinasagwa na kuwa karatasi. Vipande vidogo vidogo vya miti vikiwa katika mkanda (conveyer belt) wa kupeleka kwenye mashine ya kutengeneza...
View ArticlePROFESA MUHONGO ATEMA CHECHE Awataka TANESCO kufanya kazi
Serikali imeliagiza Shirika la Umeme Tanzania (TANESCO) kuacha mara moja tabia ya kukata umeme bila sababu ya msingi.Agizo hilo limetolewa leo jijini Dar es Salaam na Waziri wa Nishati na Madini...
View ArticleWatu 10 wauawa kwenye mapigano Somalia
Habari kutoka Somalia zinasema kuwa, takriban watu 10 wameuawa na wengine kadhaa kujeruhiwa kwenye mapigano yaliyotokea katika mji wa Beledweyne nchini Somalia. Habari zaidi zinasema kuwa, mapigano...
View ArticleICTR kutoa hukumu ya mwisho leo ARUSHA
Baadhi ya majaji wa Mahakama ya ICTR Arusha Tanzania wakisikiliza moja kesi za mauaji ya Rwanda. Mahakama ya Kimataifa ya Mauaji ya Kimbari ya Rwanda (ICTR) iliyokuwa ikishughulikia kesi za mauaji...
View Article