Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAIBU KATIBU MKUU WA WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI ATEMBELEA MAKAO MAKUU...

 Naibu Katibu Mkuu Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, John Mngodo (Kushoto), akisalimiana na Maofisa  wa Jeshi la Zimamoto na Uokoaji,Braiton Manyo alipotembelea Makao Makuu ya Jeshi hilo yaliyopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WADAU WA AFYA MKOANI MBEYA WAKUTANA NA KUJADILIANA KUELEKEA SIKU YA...

Afisa Maendeleo ya jamii Mkoa wa Mbeya Ndugu Stellah Kategile akiwasilisha maada kwa wadau wa Sekta ya Afya Mkoani Mbeya katika kikao cha kujadili juu ya kuelekea katika siku ya maadhimisho ya Ukimwi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JK ATINGA OFISINI KWAKE LUMUMBA AANZA KUPIGA MZIGO FASTA

 Mwenyekiti wa CCM, Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dk. Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Katibu wa NEC Oganaizesheni Ndugu Mohamed Seif Khatib mara baada ya kuwasili kwenye Makao Makuu ya Chama Cha...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BOMOABOMOA KURASINI JIJINI DAR ES SALAAM

Dereva wa  Katapila akibomoa moja ya nyumba za KurasiniFatuma Mussa mkazi wa Kurasini akizungumza na waandishi wa habari (pichani hawapo)  kwa hisia kali akilalamikia ubomoaji wa makazi yaoMwenyekiti...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAMUUWA MAMA YAO KWA KUTAKA MASHAMBA NJOMBE

Hili ni Eneo Ambalo Bibi Huyo Alizikwa Katika Shimo la Choo Cha Nyumba ya Jirani YakeKamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Wilbroad Mutafungwa Amefika Eneo la Tukio Huko Limage Kata ya Yakobi Na Gabriel...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KOBE 201 WALIOKUWA WAKISAFIRSHWA NJE YA NCHI WAKAMATWA UWANJA WA NDEGE WA...

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt.Adelhelm Meru akikagua mabegi matano yenye Kobe 201 yaliyokamatwa usiku wakuamkia leo na askari wanyamapori kwa kushirikiana na vyombo vya ulinzi nausalama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI ASAINI KITABU CHA MAOMBOLEZO

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisaini kitabu cha Maombolezo katika Ubalozi wa Ufaransa nchini kufuatia vifo vya Watu zaidi 130 vilivyotokana na mashambulizi ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KASSIM MAJALIWA NDIYE WAZIRI MKUU AWAMU YA TANO

WAZIRI Mkuu mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano, Mhe. Majaliwa Kassim Majaliwa.……………………………………………………………………………………………………..Na Ismail Ngayonga MAELEZO DodomaWAZIRI Mkuu mteule wa Serikali ya Awamu ya Tano,...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MHE.DKT. TULIA AKSON ACHAGULIWA NAIBU SPIKA WA BUNGE LA JAMHURI YA MUUNGANO...

Na Lilian LundoMaelezoDodomaWabunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wamemchagua Mhe.Dkt. Tulia Akson kupitia Chama cha Mapinduzi (CCM) kuwa Naibu Spika wa Bunge la 11 baada ya kumshinda...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WIKI YA USAFI NA MAZINGIRA YAHITIMISHWA LEO KITAIFA MKOANI...

Picha na Gabriel Kilamlya NjombeImeelezwa Kuwa  Jumla ya Watu Bilioni 1.8 Wamekufa Barani Afrika na Wengine Bilioni  1.7 Wameugua Magonjwa ya Mlipuko Kikiwemo Kipindupindu Kutokana na Kutozingatia...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZANIA YACHAGULIWA NA UNESCO KUWA MJUMBE WA KAMATI YA URITHI WA DUNIA

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Dkt. Adelhelm Meru akizungumza na Waandishi wa Habari (hawako pichani) leo tarehe 23/11/2015 katika Ofisi za Wizara hiyo ambapo amesema kuwa Jamhuri ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAJALIWA AKUTANA NA WATUMISHI WA OFISI YAKE NA KUJITAMBULISHA

Waziri Mkuu, Mizengo Pinda akipokea shada la maua kutoka kwa kaimu Mkurugenzi wa Utawala wa Ofisi ya Waziri Mkuu, Savera Kazaura (kulia) Baada ya kuwasili ofisini kwake Novemba 23, 2015. Kushoto ni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKUKUU YA UHURU KUSHEREHEKEWA KWA KUFANYA KAZI

Kwa mujibu wa  Sheria ya Sikukuu za Kitaifa  (The Public Holidays Act, Cap 35) pamoja na Sheria zingine zinazompa mamlaka Rais kutangaza siku yoyote kuwa sikukuu au mapumziko,  Rais wa Jamhuri ya...

View Article


JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANI WIZARA YA MAMBO YA NDANI YA NCHI JESHI LA...

       R.P.C             Ofisi ya Kamanda wa Polisi,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU ATAKA KILA MKURUGENZI ASOME HOTUBA YA RAIS, AIFANYIE KAZI

WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewataka wakurugenzi wa vitengo na wakuu wa taasisi katika Ofisi ya Waziri Mkuu (TAMISEMI) wapate nakala ya hansard ya hotuba ya Rais Dkt. John Pombe Magufuli ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MAKAMU WA RAIS MHE.SAMIA SULUHU HASSAN AKUTANA NA UONGOZI WA MTANDAO WA...

Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mhe. Samia Suluhu Hassan, akizungumza na Uongozi wa Mtandao wa Wanawake Tanzania (WFT) wakati viongozi hao walipofika Ofisini kwake Ikulu jijini Dar...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

AGIZO LA MARUFUKU YA MICHANGO SHULENI LAENDELEA KUKAIDIWA NJOMBE

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI KAMISHNA MKUU WA TRA

Raisi wa Jamuhuri ya Mungano wa Tanzania, Mh. Dkt John Pombe Joseph Magufuli amemsimamisha kazi kuanzia leo tarehe 27 Nov. 2015, Kamishna Mkuu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) ndugu Rished Bade...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU MAJALIWA AVAMIA BANDARI LEO, AAMRISHA KUKAMATWA KWA MAAFISA KIBAO...

WAZIRI MKUU Majaliwa Kassim Majaliwa amewasimamisha kazi maafisa watano na watumishi watatu wa Mamlaka ya Mapato Tanzania (TRA) kutokana na upotevu wa makontena 349 yenye thamani ya zaidi ya sh....

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CCM YAAHIDI KUMPA USHIRIKIANO DK. MAGUFULI

Mh. Nape Nnauye Katibu wa Itikadi na Uenezi CCM na Mbunge wa jimbo la Mtama mkoani Lindi akizungumza wakati alipokutana na wahariri wa New Habari  leo.………………………………………………………………………………………….Chama Cha...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live