Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Stanbink Benki Tanzania yatakiwa kuilipa Serikali zaidi ya bilioni 13 kwa kufanya udanganyifu wa kuongeza riba ya asilimia moja.


Image may be NSFW.
Clik here to view.
OM1
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya Stanbink Tanzania.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
OM2
Katibu Mkuu Kiongozi, Ombeni Sefue (kushoto) akiongea na Waandishi wa Habari leo 01 Disemba, 2015 katika Ofisi ya Mawasiliano Ikulu kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya Stanbink Tanzania. Kulia ni Mkurugenzi wa Idara ya Habari-MAELEZO Bwana Assah Mwambene.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
OM3
Baadhi ya Waandishi wa Habari wakifuatilia taarifa toka kwa Katibu Mkuu Kiongozi kuhusu Tanzania kurejeshewa dola za Marekani milioni 7 katika kesi iliyofunguliwa katika Mahakama Jijini Uingereza dhidi ya Benki ya Stanbink Tanzania.
(Picha zote na Benedict Liwenga)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles