Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Mkanyagano watokea katika kivuko Kenya

$
0
0
 
 Ripoti zinasema kuwa mkanyagano umetokea katika kivukio cha Ferry katika eneo la Likoni huko Mombasa Kenya na kusababisha mamia ya watu kujeruhiwa.

Tukio hilo limejiri baada ya ferry tatu zinazoendesha oparesheni zake katika kivuko hicho kukabiliwa na matatizo ya kiufundi.

Kulingana na ripoti hizo Ferry zilizosalia zimeshindwa kuhudumia idadi kubwa ya watu wanaotumia kivuko hicho pamoja na ile ya magari.

Hatua hiyo imesababisha msongamano mkubwa wa watu katika kivuko hicho.

CHANZO:bbcswahili

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Latest Images

Trending Articles