Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Palestina yakomesha ushirikiano na Israeli

$
0
0

Mamlaka ya kipalestina Palestine Liberation Organisation imekomesha ushirika wake wa usalama na Israel.
Ushirikiano huo ulikuwa sehemu ya makubaliano ya Oslo mwaka wa 1993.
PLO imesema kamati yake kuu itakutana kutekeleza uamuzi huo uliochukuliwa katika mkutano wa baraza kuu katika mji wa Westbank Ramallah.
 

Tangazo hilo linachukuliwa kama kisasi kwa Israel kwa kukata uhamishaji wa ushuru kianzo cha fedha kwa utawala wa Palestina .

Mwandishi wa BBC aliyeko Jerusalem anasema kuwa mwandishi wa BBC huko Jerusalem anasema kuwa ikiwa ushirikiano huo utamalizika itakuwa pigo kwa usalama wa Israel na inatarajiwa kujibu vikali.

Kauli hiyo ya Palestine Liberation Organisation (PLO) inamaanisha kuwa Wapalestina hawatatoa habari tena kuhusu makundi yenye waislamu wenye siasa kali kama vile Hamas.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles