Article 2
JENGO LA UHAMIAJI MKOA WA MBEYA LAZINDULIWA. Jengo la Uhamiaji MbeyaKATIKA kuhakikisha Wimbi la Uhamiaji Haramu linakomeshwa Mkoani Mbeya, Serikali imeagiza viongozi wa Serikali za Vijiji kusimamia...
View ArticleWEZI WA JARIBIO LA KUIBA TRANSFOMA NJOMBE WAKAMATWA
Kamanda wa jeshi la polisi mkoa wa Njombe Fulgency Ngonyani akiongea na mtandao huu ofisini Na Prosper Mfugale NjombeJeshi la polisi mkoani Njombe linawashikilia watu watatu kwa kuhusika na matukio...
View ArticleArticle 0
SERENGETI FIESTA 2013 TABORA UWANJA WA AL-HASSAN MWINYI.Abdul Kiba,msanii wa muziki wa bongofleva akiimba mbele ya umati mkubwa wa wakazi wa mji wa Tabora waliojitokeza kwa wingi usiku huu kwenye...
View ArticleArticle 11
MTOTO WA MIAKA 8 AOLEWA NA MWANAUME WA MIAKA 38.Mwanaume aliyetajwa kwa jina moja la Samson (38), mkazi wa Kijiji cha Mindukeni, Tarafa ya Tarawanda katika Wilaya ya Bagamoyo, Pwani amefanya maajabu ya...
View ArticleArticle 10
WAKAZI WA ISANGA MBEYA WAINGILIWA NA MAGUFULI. Baadhi ya ya wakazi wa Isanga Mbeya wakiwa hawaamini kinachotokeaZoezi la Bomoa Bomoa Limehamia Jijini Mbeya Huku wananchi wakiwa Hawa amini...
View ArticleMGOGORO WA MADINI ULIWA NJOMBE WATATULIWA.
Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba.Na Michael Ngilangwa Njombe.Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi Sara Dumba Amewataka Wachimbaji Wadogo wa Madini Wilayani Njombe Kuzingatia Taratibu za Kuomba Leseni Kwa...
View ArticleArticle 8
DADA YAKE FREEMAN MBOWE AIKIMBIA CHADEMA NA KUJIUNGA CCM.Katibu wa Chama Cha Mapinduzi CCM Wilaya ya Hai Mkoani Kilimanjaro, Hassan Mtenga kushoto akimkabidhi yadi ya CCM, Grace Mbowe, baada ya kutoka...
View ArticleArticle 7
MAKATIBU WA CCM WA WILAYA WALIOTEULIWA hawa hapa. UTEUZIKikao cha Halmashauri Kuu pia kimeridhia, uteuzi wa Makatibu wateule wapya wa Jumuiya za CCM, za Umoja wa Vijana wa CCM (UVCCM), Jumuia ya Wazazi...
View ArticleArticle 6
JK AMUAPISHA MSAJILI WA VYAMA VYA SIASA JAJI FRANCIS MUTUNGI .Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Mzee James Mapalala baada ya kumuapisha Msajili wa Vyama vya Siasa mpya Jaji Francis Mutungi...
View ArticleSAKATA LA TRAFIKI FEKI LAFIKISHWA MAHAKAMANI.
JAMES Hussein, mkazi wa Kimara, Dar alikuwa na wakati mgumu wa kukwepa kamera zilizotua Mahakama ya Wilaya Ilala, jijini Dar juzi baada ya kufikishwa kwa kosa la kujifanya trafiki.Tukio hilo lilijiri...
View ArticleSERIKALI WILAYANI NJOMBE KUPAMBANA NA WAHARIBIFU WA VYANZO VYA MAJI SASA.
Haya ni Badhi ya maeneo yanayo Limwa na wananchi wa Mtaa wa Maheve Karibu na Vyanzo vya Maji Mjini Njombe. Na Prosper Mfugale NjombeSerikali Wilayani Njombe Imesema Itaendelea Kuwachukulia Hatua za...
View ArticleUTATA WA MASHAMBA KWA WAKULIMA WANGAMA WILAYANI WANGING'OMBE WASULUHISHWA.
Maeneo ya Kujenga Makao Makuu wanging'ombe yaanza Kupimwa.Na Gabriel Kilamlya Wanging'ombeZoezi la Ugawaji Mashamba ya Wakulima waliokubali Kupisha Eneo la Kujenga Ofisi za Makao Makuu ya Wilaya ya...
View ArticleArticle 1
MZAZI AMFUKIA MTOTO SHIMONI MAKAMBAKO NJOMBE.ACP Fulgency Ngonyan Kamanda wa polisi mkoa wa Njombe Amethibitisha Kutokea kwa Matukio Hayo.Jeshi la Polisi Mkoani Njombe Linawashikilia Watu Wawili Maria...
View ArticleArticle 0
CCM YABATILISHA KUFUKUZWA UANACHAMA MADIWANI BUKOBA Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi wa CCM, Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari kuhusu uamuzi wa kamati kuu wa kubatilisha kufukuzwa kwa...
View ArticleArticle 4
MWIGULU NCHEMBA ATAKA MBOWE NA DR. SLAA WAKAMATWE KWA MAUAJI YA RAIA. MBUNGE wa Iramba Magharibi, Mwigulu Nchemba (CCM), amechafua hali ya hewa bungeni kwa kuitaka Serikali kuwachukuliwa hatua viongozi...
View ArticleArticle 3
UTATA WA DARAJA LA KIHESANJOMBEWASHUGHULIKIWA. Halmashauri ya Mji Njombe kwa Kushirikiana na Wananchi wameanza Kujenga Daraja lililoleta Mvutano Mkubwa. Kukosekana kwa Bajeti Halmashauri Kumepelekea...
View ArticleArticle 2
GARI LA RC IRINGA YAGONGWA ,MWENYEWE ANUSURIKAMkuu wa Mkoa wa Iringa Dokta Christine Ishengoma Anusurika kwenye Ajari Mkoani Iringa.MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE DKT. CHRISTINE ISHENGOMA (MB.ANUSURIKA...
View ArticleArticle 1
TRAFIKI FEKI MAZITO TENA ADAIWA KUWA ALIKUWA MFUNGWA. MAZITO tena yameibuka kuhusu yule trafiki feki James Hussein, mkazi wa Kimara Matangini, jijini Dar es Salaam ambaye yuko Gereza la Segerea, Dar...
View ArticleArticle 0
ASKOFU KULOLA wa EAGT TANZANIA AFARIKI DUNIA. Askofu Mkuu wa Kanisa la Evangelistic Assemblies of God hapa nchini Dk.Moses Kulola siku za hivi karibuni Na salesi Malula Askofu Mkuu wa Kanisa la...
View Article