Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 2

$
0
0

GARI LA RC IRINGA YAGONGWA ,MWENYEWE ANUSURIKA

Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dokta Christine Ishengoma Anusurika kwenye Ajari Mkoani Iringa.
MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE DKT. CHRISTINE ISHENGOMA (MB.ANUSURIKA AJALI BAADA YA GARI LAKE KUGONGWA NA DALADALA YENYE NAMBA ZA  USAJILI T 163 CBE. PAMOJA NAE ALIKUWA NA KAIMU KATIBU WAKE DENNIS GONDWE NA DEREVA WAKEHAMID UGULUMU,katika hajali  hiyo hakuna madhara yoyote kwa binadamu
kwa hisani ya francisgodwinblog

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles