GARI LA RC IRINGA YAGONGWA ,MWENYEWE ANUSURIKA![]()
Mkuu wa Mkoa wa Iringa Dokta Christine Ishengoma Anusurika kwenye Ajari Mkoani Iringa.
![]() |
MKUU WA MKOA WA IRINGA MHE DKT. CHRISTINE ISHENGOMA (MB.ANUSURIKA AJALI BAADA YA GARI LAKE KUGONGWA NA DALADALA YENYE NAMBA ZA USAJILI T 163 CBE. PAMOJA NAE ALIKUWA NA KAIMU KATIBU WAKE DENNIS GONDWE NA DEREVA WAKEHAMID UGULUMU,katika hajali hiyo hakuna madhara yoyote kwa binadamukwa hisani ya francisgodwinblog |