SERIKALI YASHAURIWA KUONGEZA BAJETI WIZARA YA HABARI
Waziri wa Habari, Vijana, Utamaduni na Michezo Mhe. Dkt. Fenella Mukangara akiwasilisha bajeti ya wizara hiyo leo bungeni mjini Dodoma.Mwenyekiti wa Kamati ya Kudumu ya Bunge ya Maendeleo ya Jamii Mhe....
View ArticleWAZIRI WA MALIASILI NA UTALII, LAZARO NYALANDU AWASILISHA BAJETI YAKE BUNGENI...
Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu akizungumza na Waziri kivuli wa Maliasili na Utalii, Peter Msingwa kabla ya kuasilisha bajeti yake bungeni.Waziri wa Maliasili na Utalii, Lazaro Nyalandu...
View ArticleSERIKALI YA MAPINDUZI YAOMBWA KUWAHAMISHA OMBAOMBA
Na Takdir Ali-Maelezo Zanzibar. ………………………………….Serikali ya Mapinduzi ya Zanzibar imeshauriwa kufanya juhudi za kuwahamisha Ombaomba waliozagaa katika maeneo mbalimbali ya Manispaa ya Mji wa...
View ArticleBURUNDI: WAANDAMANAJI WAKATA TAMAA BAADA YA MKUTANO WA DAR ES SALAAM
Mtoto huyo anaangalia jinsi askari polisi wakiondoa vizuizi viliyowekwa kwenye barabara za mji wa Bujumbura, Mei 30 mwaka 2015.Na RFIBaada ya mkutano wa marais wa nchi za jumuiya ya Afrika Mashariki...
View ArticleMATUKIO BUNGENI MJINI DODOMA
1 Waziri wa Elimu na Mafunzo ya Ufundi Dkt. Shukuru Kawambwa akiwasilisha makadirio ya mapato na matumizi ya wizara yake kwa mwaka wa fedha 2015/2016 bungeni mjini Dodoma leo.Mwenyekiti wa Kamati ya...
View ArticlemARAIS WAKIWA KATIKA AAZUNGUMZO YA AMANI BURUNDI DAR ES SALAAM JANA
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkaribisha Ikulu jijini Dar es Salaam na kufanya mazungumzo na Rais Uhuru Kenyatta wa Kenya muda mfupi kabla ya kuanza mazungumzo juu ya mzozo wa Burundi jana.Rais...
View ArticleKUBOMOKA KWA TUTA LA KIJIJI CHA JOMBWE MKOA WA KUSINI PEMBA KUNATOKANA NA...
Na Mwanaisha Moh’d Na Kijakazi Abdallah -Maelezo ZanzibarSerikali ya Mapinduzi Zanzibar imesema sababu ya kubomoka kwa tuta Kijiji cha Jombwe Mkoa wa Kusini Pemba ni kupanda kwa kina cha maji...
View ArticleAJIRA MPYA ZA WALIMU NJOMBE BADO WALIMU HAWATOSHI.
Zoezi la Usajiri kwa walimu wapya katika Halmashauri ya mji wa Njombe laandelea. Baadhi ya Walimu Wapya Wakisajiriwa Leo na Maafisa Toka Halmashauri ya Mji wa Njombe baada ya Kuripoti. Mwalimu Agrey...
View ArticleSERIKALI YAMALIZA MGOGORO NA WAFANYABIASHARA.
Waziri wa Fedha Mh. Saada Mkuya Salum akiwaeleza wafanya biashara kuendelea kutoa ushirikiano, utakaojenga uhusiano wa kudumu kati yao na Serikali kwa maslahi na maendeleo ya Taifa, wakati akitoa...
View ArticleSAMUEL SITTA ATANGAZA RASMI NIA YAKE KUGOMBEA URAIS-JUNI 3,2015
Mh Samuel Sitta akitangaza nia leo mchana Itetemia TaboraMheshimiwa Samuel Sitta leo hii alitangaza rasmi nia yake kugombea urais wa Jamuhuri ya Muungano wa Tanzania. Alitangaza nia yake hiyo mbele ya...
View ArticleKIKAO CHA BARAZA LA WAFANYAKAZI LA WIZARA WA FEDHA CHA FANYIKA MJINI MOROGORO
Mkuu wa Mkoa wa Morogoro Dkt. Rajabu Rutengwe (katikati) akiwa na Waziri wa Fedha Saada Mkuya Salum (kulia) wakiwasili kwenye ufunguzi wa kikao cha baraza la wafanyakazi la Wizara wa Fedha...
View ArticleKINANA KUANZA ZIARA KESHO JUNE 4 KUELEKEA KAGERA, GEITA ,MWANZA
Katibu wa NEC Itikadi na Uenezi CCM Taifa, Nape Nnuye akizungumza na waandishi wa habari ambapo alizungumzia ratiba ya ziara ya Katibu Mkuu wa CCM Taifa Ndugu Abdulrahman Kinana katika mikoa mitatu...
View ArticleNASSARI ASHIRIKI UJENZI WA CHANZO CHA MAJI
Mbunge wa jimbo la Arumeru Mashariki Mhe. Joshua Nassari akiwa amepanda kwenye Lori lililokuwa likibeba mawe kwa ajili ya ujenzi wa chanzo kipya cha maji kwa ajili ya kumwagilia katika kijiji cha...
View ArticleMWENYEKITI BAVICHA KIJIJI CHA LUANA AWATAKA WANANCHI LUDEWA KUTOMPOTEZA...
mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe akizungumza na baadhi ya wananchi wa kijiji cha Luana waliojitokeza kuungana nae katika maendeleo ya kuchimba mifereji ya kutolea maji katika...
View ArticleMAKAMU WA RAIS ATEMBELEA BOHARI YA KUHIFADHI MAFUTA YA GBP MKOANI TANGA
Makamu wa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Mohammed Gharib Bilal, akisikiliza maelezo kutoka kwa Msimamizi wa Kituo cha kupokelea mafuta cha Kampuni ya GBP, wakati alipokuwa katika ziara...
View ArticleKINANA AMALIZA ZIARA YAKE KATIKA JIMBO LA BUKOBA MJINI, KESHO NI MULEBA
Katibu Mkuu wa CCM Ndugu Abdulrahman Kinana akiongozwa na Meneja wa uwanja wa Ndege wa Bukoba Bw. Julius Mulungwana wakati akikagua ujenzi wa uwanja wa ndege wa Bukoba wakati akiwa kwenye ziara yake ya...
View Article