MARAIS WASTAAFU THABO MBEKI, FESTUS MOGAE NA BENJAMIN MKAPA WAKUTANA DAR ES...
Marais wastaafu Thabo Mbeki wa Afrika Kusini na Festus Mogae wa Botswana wakiigia kwenye chumba cha Mkutano katika hoteli ya Serena jijini Dar es salaam leo wakati wa mkutano wa mwaka wa Africa...
View ArticleWANANCHI LUGENGE WATARAJIA KUONDOKANA NA TATIZO LA MAJI YA BOMBA
MWENYEKITI WA KIJIJI CHA LUGENGE BWANA PAULINUS MGAYA AKIZUNGUMZA NA UPLANDS FMHatimaye wakazi wa vijiji vya Kata ya Lugenge Wilayani Njombe wanatarajia kuondokana na tatizo la ukosefu wa maji ya bomba...
View ArticlePINDA AZINDUA KONGAMANO LA BIASHARA KWA MIKOA YA NJOMBE,MBEYA NA IRINGA
Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Esterina Kilasi Kulia Akiwa na Waziri Mkuu Mizengo Pinda Jijini MBEYA
View ArticleUPLANDS FM RADIO TOKA NJOMBE WARUSHA LIVE MDAHALO WA KUPIGA VITA UKIMWI LEO
Hapa Mdahalo Unaendelea Live Baina ya Wanafunzi wa Shule ya Sekondari Joseph Mbeyela na Mpechi Sekondari..Mdahalo unafanyika Katika Shule ya Sekondari Mpechi Mjini Njombe Muda Huu Wanafunzi wa Mpechi...
View ArticleArticle 6
MAELFU WAJITOKEZA TAMASHA LA UMOJA KWANZA NJOMBEUMATI WA WANANCHI WALIOHUDHURIA TAMASHA LA NGUVU LA UPLANDS FM LEO KATIKA UWANJA WA SABASABA MKURUGENZI WA RADIO UPLANDS FM HAMPHREY MILLINGA AKIZUNGUMZA...
View ArticleArticle 5
Vijana wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Wapigwa msasa kuhusu Mikopo kupitia Mfuko wa Maendeleo ya Vijana Kaimu Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Nchemba Mkoani Dodoma Bw. Boniface Mandi...
View ArticleArticle 4
SITTA AONGOZA KIKAO CHA KAMATI YA UONGOZI CHA BUNGE MAALUM LEO Mwenyekiti wa Bunge Maalum Mhe. Samuel Sita akiongoza kikao cha Kamati ya Uongozi cha Bunge hilo kilichokaa leo kupanga ratiba ya Bunge...
View ArticleWAMBURA NA WENZAKE 70 WAFUKUZWA UANACHAMA SIMBA
SIMBA SC imepitisha bajeti ya mwaka 2014/2015 ambayo ni Sh. Bilioni 3.008 katika Mkutano wake Mkuu leo, ambao pia umemfuta rasmi uanachama aliyekuwa Katibu Mkuu wa Chama cha Soka Tanzania (FAT sasa...
View ArticleArticle 1
JOSE CHAMELEONE AFANYA KUFURU MJINI DODOMA.Taswira mbalimbali za makamuzi ya mwanamuziki nguli kutoka nchini Uganda, Jose Chameleone ndani ya Klabu Maisha iliyopo mjini Dodoma usiku wa kuamkia...
View ArticleArticle 0
RAGE APATA AJALI MBAYA YA GARI AKIWA NJIANI KUELEKEA bUNGEi mJINi DODOMA Mbunge wa Tabora Mjini (CCM) Ismail Aden Rage, ambaye pia ni mjumbe wa Bunge Maalum la Katiba, akiwa amelazwa kwenye hospitali...
View ArticleArticle 0
MOTO WAUNGUZA MALI MBALIMBALI MJINI NJOMBE ULIOTOKEA NJE YA GEREJI YA MZEE MWANZINGA KARIBU NA CHUO KIKUU CHA AMANI USIKU. KIKOSI CHA JESHI LA ZIMAMOTO KIKISHIRIKIANA NA WANANCHI KUFUNGUA MITAMBO YA...
View ArticleArticle 4
MBUNGE JOSHUA NASARI AKIWA NA MARAIS MBALIMBALI NCHINI MAREKANIMbunge Joshua Nassari Akiwa na Waziri Mkuu wa Mauritius
View ArticleMCT WATOA ELIMU KWA KAMATI TENDAJI NPC NJOMBE
.Lengo ni kutaka Kuunda Kamati ya MaadiliKushoto ni Katibu wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Njombe Hamis Kasapa Katikati ni Allan Lawa Meneja Maadili Baraza la Habari TanzaniaMmiliki wa...
View ArticleBREAKING NEWSSSSSSSSSS
KAMANDA WA POLISI MKOA WA NJOMBE APATA AJALI USIKU WA AGOSTI 8,Bodigadi Wake Afariki Dunia Muonekana wa Gari la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe BAADA YA aJALI uSIKU hUKO tANWATT kIBENA Njombe Kamanda...
View ArticleArticle 1
BASI LA KAMPUNI YA FIVE ALIANCE LATEKETEA KWA MOTO LIKITOKA MTWARA KWENDA DAR Basi la kampuni ya 5 Aliance ambalo linafanya safari zake kati ya Mtwara na Dar es salaam limeungua moto asubuhi ya...
View ArticleGARI LA RPC NJOMBE NA BODIGADI WAKE ALIYEFARIKI KWA AJALI USIKU WA KUAMKIA LEO
Gari la Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Linavyoonekana Mara Baada ya Kupata Ajali Usiku wa Kuamkia Leo Eneo la Kibena TANWATT Mkoani Njombe na Kusababisha Kifo cha Bodigadi wa RPC Njombe Anayeonekana...
View ArticleArticle 2
USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI wA MBEYA Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI –ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijanawaliomaliza Kidato...
View Article