$ 0 0 USAILI WA JESHI LA POLISI TANZANIA KWA WAKAZI wA MBEYA Kaimu Kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya, BARAKAEL .N. MASAKI –ACP anawatangazia Wananchi wote ya kuwa orodha ya majina ya vijanawaliomaliza Kidato cha Nne mwaka 2013 na cha Sita mwaka 2014 nakuchaguliwa kufanya usalii wa kujiunga na Jeshi la Polisi inapatikanakwenye tovuti ya Polisi: www.policeforce.go.tz au wafike ofisiya kamanda wa Polisi mkoa wa Mbeya iliyopo Forest jirani naMahakama kuangalia majina yao.Muhimu: •Mwombaji anaruhusiwa kufanya usaili kwenye kituo chochote chausaili kilicho karibu naye kulingana na tarehe zinavyoonesha kwenyejedwali hapo juu ili mradi tu awe amejiridhisha kuwa ni miongoni mwawalioitwa kwenye usaili. Jeshi la Polisi halitahusika na lawama yoyote ilekwa mtu atakayekwenda kwenye kituo cha usaili hali ambapo jina lake simiongoni mwa walioitwa kufanya usaili.• Mwombaji aliyeitwa kwenye usaili aje na vyeti vyake vyote vyamasomo [(Academic Certificate(s)/Results slip(s) & Leaving certificate(s)], nakala halisi ya cheti cha kuzaliwa (Original Birth certificate). Hati yakiapo cha kuzaliwa haitakubalika.• Mwombaji awe na namba ya simu itakayotumika kumjulisha endapoatachaguliwa.. • Kila mwombaji aliyeitwa kwenye usaili atajigharamia usafiri, chakulana malazi kwa muda wote wa zoezi la usaili. Pia waombaji waje nakalamu za wino kwa ajili ya usaili wa kuandika.Ni muhimu sana kwa kila mwombaji kuzingatia muda wa kuanza usaili.TAREHE YA USAILI KWA MKOA WA MBEYA NI 28.09.2014 HADI01.10.2014. SAA 08:00 ASUBUHI HADI 10:00 JIONI.mmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmmm