Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kutoka kwa RC Paul Makonda na mistari aliyonukuu

Jina la Mkuu wa mkoa wa Dar es salaam Paul Makonda sasa hivi linatajwa sana kwenye headlines za sakata la dawa za kulevya, hii inatokana na kuamua kama kiongozi kuongoza vita dhidi ya dawa ya kulevya...

View Article


Balozi wa Korea Kaskazini nchini Malaysia bado hajaondoka nchini Malawi hata...

Balozi wa Korea Kaskazini nchini Malaysia anakabiliwa na notisi ya kuondoka nchini humo kufuatia mgogoro kuhusiana na uchunguzi wa kifo cha Kim Jong nam nduguye wa kambo rais wa Korea kaskazini.Siku ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbunge Tundu Lissu akamatwa na Polisi akitoka mahakamani

Jeshi la Polisi nchini linamshikilia Mbunge wa Singida Mashariki, Tundu Lissu baada ya kuachiwa huru na Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu.Lissu aliachiwa leo asubuhi na Hakimu Mkuu Mkazi, Huruma Shahidi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Simu ya Rais Magufuli kwa Diamond LEO

Leo March 14 2017 kupitia kipindi cha Clouds 360 kinachorushwa na Clouds TV, Rais Magufuli amepiga simu na kuzungumza na Mwimbaji wa Bongo fleva Diamond Platnumz baada ya kusikia Diamond akimuomba Rais...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

CHELSEA WAWATOA MAN UNITED FA CUP

Usiku wa March 13 2017 mchezo wa robo fainali ya FA Cup kati ya Chelsea dhidi ya Man United ulichezwa katika uwanja wa Stamford Bridge, Man United ambao walikuwa wageni katika mchezo huo waliingia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

ULANZI WATEKA SOKO IRINGA BAADA YA VIROBA KUZUIWA

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi auawa Kinyama Baada ya Kuitiwa Mwizi

Watu sita wanashikiliwa na Jeshi la polisi mkoani Kilimanjaro kwa tuhuma za kumuua askari polisi Abdala Chande kwa kumkata na mapanga baada ya kupita katika nyumba inayofanyika biashara  ya pombe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. DKT. MAGUFULI AFANYA ZIARA YA KUSHTUKIZA BANDARINI NA KUZUIA...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli akiwa katika ziara ya kushtukiza katika Bandari ya Dar es Salaam kufatilia maagizo yake ya kudhibiti vitendo vya udanganyifu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Uteuzi mwingine alioufanya Rais Magufuli Usiku wa machi 23,2017

Rais Magufuli jioni ya  23 2017 amefanya uteuzi mwingine tena kwa kumteua Alphayo Kidata kuwa Katibu Mkuu Ikulu.

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jeshi la Polisi Lirudishe Simu Yangu - Tundu Lissu

Nimetoka Kituo Kikuu cha Polisi Dar sasa hivi. Polisi wamekataa kunirudishia simu yangu waliyoinyang'anya kwa nguvu tarehe 6 Machi, siku waliyonikamata nikiwa mahakamani Kisutu.Mimi sijatuhumiwa wala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Gwajima: Mimi ndo chanzo cha Nape Nnauye Kutumbuliwa

Askofu Mkuu wa Kanisa la Ufufuo na Uzima,Josephat Gwajima amesema kuwa yeye ni sababu kubwa ya  kutenguliwa kwa Waziri wa habari,utamaduni,Sanaa na Michezo Nape Nnauye.Akizungumza leo (Alhamisi) baada...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAVELMATE: BEGI LINALOTEMBEA LENYEWE KUMFUATA MMILIKI WAKE

Sote tunajua taabu inayopatikana ya ubebaji Begi au mabegi pale tunaposafiri kuelekea katika kituo aidha cha Mabasi, Treni au Ndege.Adha hiyo sasa inakaribia kuondoka kabisa baada ya kufanyika mageuzi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mangu Awataka Wananchi Wampe Ushirikiano IGP Simoni Sirro

Aliyekuwa Mkuu wa Jeshi la Polisi nchini (IGP), Ernest Mangu amewataka wananchi kumpa ushirikiano IGP mpya, Simon Sirro katika kukabiliana na matukio ya uhalifu nchini hasa katika Mkoa wa Pwani.Mangu...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Walemavu walioungana wampata kijana wa kuwaoa

Kwa yeyote aliyewahi kukutana nao, mapacha wawili ambao ni walemavu walioungana matumbo, Maria na Konsolata hatabisha kwamba pamoja na hali yao, watoto hao ni wacheshi, wakarimu na wanaoweza kukufanya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kairuki: Serikali Haitaajiri Walimu wa Masomo ya Sanaa

Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Utumishi na Utawala Bora, Angela Kairuki amefunguka na kusema serikali kwa sasa haitaweza kuajiri walimu wapya wa sanaa bali itawatumia walimu wa sanaa wa ziada waliopo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TANZIA: Mzee aliyebuni na kuchora Nembo ya Taifa AFARIKI Dunia

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Anna Mghwira AKABIDHIWA ILANI YA CCM BAADA YA KUAPISHWA

Leo June 6, 2017 Ikulu Dar es salaam, Rais Magufuli amemuapisha Anna Mghwira kuwa Mkuu wa Mkoa wa Kilimanjaro. Mama Mghwira ni mwanachama wa ACT Wazalendo na aliyekuwa mgombea Urais wa chama hicho...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SAGCOT:UHABA WA MAJI WAKWAMISHA KILIMO CHA UMWAGILIAJI

  Wadau wa Kilimo Toka Mikoa ya Njombe,Songwe,Iringa,na Ruvuma Wakiwa Kwenye Picha ya Pamoja Katika Mkutano wa SAGCOT Njombe Mjini. Viongozi Mbalimbali Nje ya Ukumbi wa Johnson Njombe Mjini Baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAKAZI WA KIJIJI CHA INYAMALO NJOMBE WAOKOA ZAIDI YA TSH.45 MILIONI UJENZI WA...

 Mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka Akikagua Ujenzi wa Nyumba ya Pili ya Walimu Katika Shule ya Msingi Inyamalo  Mkuu wa Mkoa wa Njombe Chidtopher Ole Sendeka Akiweka Jiwe la Msingi Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TFF Wakanusha Kutowalipa Posho Serengeti Boys

Kufuatia taarifa zilizokuwa zikienea na kusambazwa kwenye mitandao ya kijamii, zikidai kuwa Shirikisho la Mpira wa Miguu Tanzania (TFF) limewatelekeza wachezaji wa timu ya mpira wa miguu ya Tanzania ya...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live