Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA ARDHI LUKUVI AKABIDHI HATI 1361 KWA WANA KIJIJI CHA DIHOMBO NA...

Wakazi wa vijiji vya  Hembeti na Dihombo wakisubiria kupata Hati miliki zao Waziri wa Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi Mh. William Lukuvi akitoa hotuba yake wakati wa alipozindua utoaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA TAHADHARI KWA WADAIWA WA PANGO LA KODI YA ARDHI

Na Mboza LwandikoLipa Kodi ya Ardhi kwa wakati, uepuke kutozwa Tozo, Kutangazwa kwenye Vyombo vya Habari, Kupelekwa Mahakamani na Kufutiwa umiliki wa ardhi yako, kwani Sheria ya Ardhi Na. 4 ya mwaka...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TAARIFA YA WIZARA YA NISHATI NA MADINI KUHAMIA DODOMA

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIAWIZARA YA NISHATI NA MADINI TAARIFA KWA UMMAAWAMU YA KWANZA YA WATUMISHI KUHAMIA MAKAO MAKUU YA NCHI - DODOMA TAREHE 10 FEBRUARI, 2017Wizara ya Nishati na Madini inapenda...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Yusuf Manji Kaachiwa Huru Kwa Dhamana ya Milioni 20

Mfanyabiashara maarufu Yusufu Manji amepata dhamana baada ya kusomewa shtaka moja la kutumia dawa za kulevya aina ya heroine.Manji amesomewa shtaka hilo katika Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu  baada ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mugabe: Hakuna mtu anayestahiki nafasi yangu katika uchaguzi wa 2018

Rais Robert Mugabe wa Zimbabwe alinukuliwa jana Jumapili akisema kuwa chama chake cha Zanu-pf na wananchi hawaoni kama kuna mtu anayefaa kuchukua nafasi yake katika uchaguzi wa mwaka kesho. Rais Mugabe...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mbowe Asakwa na Polisi Kila Kona.....Apewa Masaa 48 Ajisalimishe Mwenyewe Kwa...

Kamishna wa Polisi Kanda Maalumu ya Dar es Salaam, Simon Siro amesema endapo Mwenyekiti wa Chadema, Freeman Mbowe hataripoti kituoni kesho (saa 48 tangu jana), atatafutwa kwa namna ambayo jeshi hilo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

VICHWA VYA MAGAZETI YA FEB 20,2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BAADA YA NJOMBE MJI FC KUPANDA DARAJA KWENDA LIGI KUU,RC NJOMBE ASEMA LAZIMA...

Mkuu wa Mkoa wa Njombe Christopher Ole Sendeka  Akiapishwa na Rais. Na Gabriel  Kilamlya NjombeNjombe mji Fc ni Club ya Tatu Kupanda Daraja Baada ya Lipuli ya Iringa na Singida Kukwea na Kuelekea Ligi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Masogange apandishwa kizimbani, aachiwa kwa Dhamana ya Milioni 10

Msanii  Agnes Gerald 'Masogange' amepandishwa kizimbani leo katika mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu na kusomewa mashitaka ya kutumia dawa za kulevya.Mrembo huyo ambaye ni maarufu kwa kupamba video za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto Kabwe azidi kuibana Serikali Kuhusu ufisadi wa IPTL....Amtaka Rais...

Mbunge wa Kigoma Mjini na Kiongozi wa ACT Wazalendo, Zitto Kabwe, ameendelea kumtaka Rais Magufuli kuchukua hatua dhidi ya anachokiita ufisadi katika kampuni ya uzalishaji umeme ya IPTL, inayomilikiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Wanafunzi wanne kizimbani kwa kumkashifu Rais

Wanafunzi  wanne wa Chuo Kikuu cha Kampala Dar es Salaam, wamefikishwa katika Mahakama ya Wilaya ya Ilala, wakikabiliwa na shitaka la kuchapisha picha zinazoonyesha Rais Dk. John Magufuli amevaa hijabu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ridhiwani Kikwete ajibu shutuma ya kutajwa kwenye orodha ya watuhumiwa wa...

Mbunge wa jimbo la Chalinze mkoani Pwani kwa tiketi ya Chama cha Mapinduzi (CCM), Ridhiwani Kikwete amekanusha vikali shutuma zilizotolewa dhidi yake kuhusu kujihusisha na biashara haramu ya dawa za...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Makato Bodi ya Mikopo: TUCTA Yatoa Siku 14 kwa Serikali Kuwarudishia...

Shirikisho  la Vyama vya Wafanyakazi Tanzania (TUCTA), limetoa siku 14 kwa Serikali kurejesha fedha za makato ya mikopo ya asilimia 15 zilizokatwa kikamakosa kupitia Bodi ya Mikopo, likisema sera...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Polisi Dodoma limewakamata na kuwataja watuhumiwa wa dawa za kulevya

 Kamanda wa polisi Dodoma Lazaro Mambosasa amezungumza na waandishi wa habari na kutoa takwimu ya watuhumiwa waliokamatwa na kufikishwa mahakamani hadi sasa.Mambosasa amesema…>>>’Katika...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Amteua Mama Salma Kikwete Kuwa Mbunge

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe. Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 01 Machi, 2017 amemteua Mhe. Salma Kikwete kuwa Mbunge wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania.Mhe. Salma Kikwete...

View Article


Afya ya rais Robert Mugabe yadhoofika

Rais wa Zimbabwe Robert Mugabe Rais wa Zimbambwe Robert Mugabe ameenda Singapore kufanya vipimo vya Afya yake, siku chache baada ya sherehe ya kufikisha miaka 93. Mugabe amekua dhaifu zaidi, na sasa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya March 4

Habari Zilizopo Katika Magazeti ya Leo Jumamosi ya March 4

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATATU WAFA KWA AJALI NJOMBE

Watu watatu wamefariki na 34 kujeruhiwa katika ajali ya basi la kampuni ya ILYANA mkoani NjombeWatu watatu wamefariki na 34 wamejeruhiwa akiwemo mwananke mmoja mjazito katika ajali ya basi la kampuni...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MFANYABIASHARA ASIMAMISHWA KUENDELEA NA UJENZI WA GHOROFA NJOMBE

Pia waweza tazama hii kama ulipitwaMfanyabiashara azuriliwa ujenzi wa Ghorofa mbele ya uwanja wa ndege Njombe04Mar2017

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WENYE AKILI NYINGI ZAIDI DUNIANI HAWA HAPA

Rekodi ya Dunia ya watu wanaoaminika kuwa na akili nyingi zaidi (IQ) ni Wanasayansi na wachezaji Chess lakini pia unaweza ukawa umewahi kujiuliza ni kiongozi gani mwenye akili zaidi Duniani, nimekutana...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live