BARAZA KUU LA UMOJA WA VIJANA WA CCM UKAMANDA KINGUGE NGOMBALE MWIRU
Baraza kuu la Umoja wa Vijana wa CCM lililokutana tarehe 15.08.2015 katika ukumbi wa Julius Nyerere International convention centre, pamoja na mambo mengine liliazimia mambo yafutauo:-1. Lilimvua...
View ArticleJINA LA EDWARD MWALONGO UBUNGE JIMBO LA NJOMBE KUSINI LA REJESHWA
KAMATI KUU YA CCM YAPITISHA MAJINA YA WAGOMBEA UBUNGE MAJIMBO 9 YALIYORUDIA UCHAGUZIKatibu wa NEC Itikadi na Uenezi Nape Nnauye akizungumza na waandishi wa habari jioni hii katika ofisi ndogo ya Makao...
View ArticleSALVA KIIR AKATAA KUTIA SAHIHI MKATABA
Serikali ya Sudan Kusini imekataa kusaini mkataba uliotarajiwa kuleta amani na kumaliza mapigano yaliyodumu nchini humo kwa zaidi ya miezi ishirini.Hata hivyo waasi na makundi ya upinzani wamesaini kwa...
View ArticleWAZIRI HAWA GHASIA AZINDUA MAFUNZO YA MADEREVA WA MABASI YA MWENDO WA HARAKA...
Waziri wa Nchi Ofisi ya Waziri Mkuu Tawala za Mikoa na Serikali za Mitaa (Tamisemi), Hawa Ghasia, akikata utepe kuashiria uzinduzi wa mafunzo ya madereva wa mabasi yaendayo haraka uliofanyika Kituo...
View ArticleEDWARD LOWASA AKAMILISHA ZOEZI LA KUOMBA WADHAMINI AKIWA ZANZIBAR
Umati mkubwa wa wakazi wa kisiwani Zanzibar wakiwa tayari katika viwanja vya Kibanda Maiti kuwasikiliza viongozi wa UKAWA ikiwa ni pamoja na kumsikiliza mgombea uraisi kupitia umoja huo Mh. Edward...
View ArticleWATANO WAFA KWA KUTUMBUKIA KWENYE MAJI LUGARAWA LUDEWA MKOANI NJOMBE
Na Nickson Mahundi LUDEWAWatu watano Wanasadikika Kufariki huku wengine wawili wakijeruhiwa kufuatia ajali ya gari iliyotokea Jana asubuhi katika wilaya ya ludewa mkoani Njombe Baada ya Kutumbukia...
View ArticleJESHI LA POLISI MKOA WA NJOMBE LIMESEMA MWENDOKASI NDIO CHANZO CHA VIFO VYA...
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Wilbroad Mutafungwa Kamanda wa Kikosi Cha Usalama Barabarani Mkoa wa Njombe Kelvin NdimboKamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Wilbroad Mutafungwa Aliyekaa na Kamanda wa...
View ArticleJAMES MBATIA AKABIDHI ZAWADI KWA BINGWA WA MASHINDANO YA JIMBO LA VUNJO...
Mwenyekiti wa Chama cha NCCR-Mageuzi,James Mbatia akiwasili katika uwanja wa Himo Polisi kwa ajili ya kushuhudia fainali ya Mashindano ya Kombe la Jimbo ,maarufu kama Mbatia Cup 2015.Mwenyekiti wa...
View ArticleCHADEMA WAKATALIWA KUFANYA MKUTANO WA UZINDUZI WA KAMPENI UWANJA WA TAIFA.
Mkurugenzi wa Idara ya Habari (MAELEZO) akikanusha kuhusu Chadema kutumia Uwanja wa Taifa kuzindua kampeni zake siku ya tarehe 22 Agosti, 2015 jijini Dar es Salaam. Kanusho hilo lilitolewa katika...
View ArticleMgombea Urais wa Chadema, EDWARD LOWASSA na Mwenza wake DUNI HAJI, wasaini...
Mgombea urais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania wa UKAWA kupitia Chama chaDemokrasia na Maendeleo (CHADEMA), Mh. Edward Lowassa akisaini fomu zahati ya Kiapo kwenye ofisi za Jaji wa Mahakama ya Kuu ya...
View ArticleMWENYEKITI NPC:WANAHABARI NJOMBE KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI MKUU
Mwenyekiti wa Njombe Press Club Mercy Sekabogo Akizungumza Katika Kikao Cha Wanahabari wa NPC Wa Kwanza Kushoto ni Katibu wa NPC Hamis Kassapa na Mtunza Hazina wa NPC Sunday Bavuga Katibu Mtendaji wa...
View ArticleKIPINDUPINDU CHAENDELEA KUTESA JIJINI DAR ES SALAAM
Muuguzi Mkuu wa Manispaa ya Kinondoni, Nusura Kessy (kushoto), akiwaelekeza wauguzi wa saidizi wake namna ya kuchanganya dawa maalumu ya kuondoa vijiji vinavyoweza kuwa vya ugonjwa wa kipindupindu...
View ArticleRais Kikwete atembelea na kuaga rasmi Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akisaalimiana na baadhi ya wafanyakazi wa Tume ya Haki za Binadamu na Utawala Bora wakati alipotembelea makao makuu ya Tume hiyo na kuzungumza na viongozi na wafanyakazi...
View ArticleNEC YAWAOMBA VIONGOZI WA DINI KUTOKUWA NA UPANDE WAKATI WA KUWAELIMISHA...
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi Jaji, Damian Lubuva akitoa mada leo jijini Dar es salaam kwa viongozi wa madhehebu mbalimbali waliohudhuria mkutanoni .Baadhi ya viongozi wa dini waliohudhuria...
View ArticleRPC NJOMBE:AMANI INATAKIWA KUENDELEA BAADA YA UCHAGUZI MKUU
Kamanda wa Polisi Mkoa wa Njombe Wilbroad MutafungwaNa Gabriel Kilamlya Njombe Ikiwa Imebaki Siku Moja Tume Ya Taifa ya Uchaguzi NEC Kuzindua Rasmi Kampeni za Uchaguzi Mkuu Hapo Agosti 22 Mwaka Huu...
View ArticleBREAKING NEWS: WAZIRI MKUU MSTAAFU FREDRECK SUMAYE ATIMKA CCM NA KUJIUNGA NA...
Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye (kushoto), akizungumza na wanahabari wakati akitangaza kujiunga na Chama cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema), leo mchana. Waziri Mkuu mstaafu, Fredreck Sumaye...
View ArticleTMT 2015 Denis Laswai ANYAKUA MILIONI 50.
Mshindi wa TMT 2015 #mpakakieleweke, Denis Laswai akiwa ameinua mikono juu kuashiria ishara ya kumshukuru Mungu Mara baada ya Kutangazwa Mshindi wa TMT 2015 #mpakakieleweke msimu wa pili katika fainali...
View ArticleCCM WAZINDUA RASMI KAMPENI ZA UCHAGUZI MKUU
NI ZAIDI YA MAFURIKO JANGWANI LEO, Mwenyekiti wa CCM Taifa na Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akihutubia wakazi wa jiji la Dar es Salaam waliojitokeza kwa wingi kwenye...
View Article