Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

MWENYEKITI NPC:WANAHABARI NJOMBE KUNA MAISHA BAADA YA UCHAGUZI MKUU

$
0
0
 Mwenyekiti wa Njombe Press Club Mercy Sekabogo Akizungumza Katika Kikao Cha Wanahabari wa NPC
 Wa Kwanza Kushoto ni Katibu wa NPC Hamis Kassapa na Mtunza Hazina wa NPC Sunday Bavuga
 Katibu Mtendaji wa Njombe Press Club Bwana Hamis Kasapa akiwasomea Wanachama Taarifa ya Chama Hicho Katika Kikao Chao




Wa Kwanza Kushoto Safu ya Mbele ni Mmiliki wa Mtandao Huu Bwana Gabriel Kilamlya Ambaye Amechaguliwa Kuwa Afisa Uhusiano Kwa Muda Ndani ya Njombe Press Club[NPC] Ambaye Pia ni  Makamu Mwenyekiti wa NPC Akiwa Katika Kikao Cha Wanachama wa NPC Ofisini Kwao.




 Mbele ni Mwanahabari wa Gazeti la Mwananchi Wilaya ya Ludewa Bazil Makungu Nyuma yake ni Pili Nyenje[Mamaa Nyeupe] Ambaye ni Mtunza Hazina Msaidizi wa NPC

 Kushoto ni sikawa Emmanuel Sikawa Ambaye ni Mjumbe wa Kamati Tendaji NPC  Nyuma Yake ni Jacob Mwenga Mwanachama Akiwa na Philimon Sanga

Na Gabriel Kilamlya Njombe

Waandishi wa Habari Mkoani Njombe Wametakiwa Kutambua Kuwa kuna Maisha Baada ya Mchakato wa Uchaguzi Mkuu Kwa Kuhakikisha Wanachukua Tahadhari Kubwa Katika Kipindi Chote Cha Kampeni Hadi Uchaguzi Mkuu.

Wito Huo Umetolewa na Mwenyekiti wa Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Njombe Bi.Mercy Sekabogo Katika Kikao Cha Siku Moja Kilichowakutanisha Wanahabari Ambao ni Wanachama Wa Chama Hicho na Kwamba Umakini na Haki Katika Utoaji Taarifa za Uchaguzi Ndio Utakaomuweka Salama Mwanahabari Yeyote.

Aidha Amesema Kuwa Wanahabari Hawanabudi Kuhakikisha Kazi Zao Haziwezi Kuleta Mpasuko Katika Taifa Kwa Kuandika Habari Zinazoegemea Upande Mmoja wa Kisiasa Jambo Linaloweza Kusababisha Kuwepo na Mpasuko Katika Nchi.


Wakizungumza Mara Baada ya Semini Hiyo Iliyofanyika Katika Ofisi za Chama Hicho Baadhi ya Wanahabari Toka Vyombo Mbalimbali Wamesema Kununuliwa Kwa Baadhi Ya

Waandishi wa Habari Kumekuwa Kukisababisha Kushindwa Kutenda Haki Katika Kuripoti Matukio Mbalimbali ya Kisiasa.

Hata Hivyo Wamesema Kupitia Mafunzo Mbalimbali Ambayo Wamekuwa Wakiyapata Wanaamini Kuwa Suala la Kununuliwa na Kuripoti Habari Upande Mmoja Linakwisha Katika Kipindi Hiki Cha Uchaguzi Mkuu.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles