Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 12

BONGO MOVIE YAPATA PIGO JINGINE.Muigizaji wa filamu nchini Jaji Khamis (Kashi) amefariki dunia leo  mchana  katika hospitali ya taifa ya Muhimbili jijini Dar es Salaam.Kashi amewahi kutamba na mchezo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 11

TCRA YAAGIZA STAR TV IRUDISHWE  STAR TIMES. Mkurugenzi Mkuu wa TCRA Prof. John Nkoma akitoa maamuzi kuhusu kujitoa kwa Star TV kwenye Star Times. TCRA imeagiza Chaneli ya Star Tv irudishwe mara moja...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 10

HATIMAYE LWAKATARE APATA KUISHI MITAANI LEO.Mahakama ya Hakimu Mkazi Kisutu jijini Dar es Salaam leo  imemuachia  kwa dhamana  Mkurugenzi wa Usalama wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo Chadema. Habari...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWANAMKE AUAWA KIKATILI DAR

  Unyama Mkubwa Bongo.Mwili wa huo ulikutwa na polisi Juni 8, mwaka huu  Mikocheni B, jirani kabisa na makazi ya Kamanda wa Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam, Kamishna Suleiman Kova.Kwa mujibu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 8

WANANCHI  KIJOMBE  MKOANI NJOMBE WAMKATAA MTENDAJI WAO. Huyu ni afisa Mtendaji wa Kijiji cha Kijombe bwana Jailos Lyode aliyekataliwa na Wananchi wake Kwa ubadhilifu wa fedha.Huyu ni Diwani wa Kata ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 7

GHARAMA KUBWA ZA HOTELI NA HUDUMA DUNI ZAIKERA  TANAPA IRINGA.                                           Bw James LembeliMwenyekiti kamati bunge  ardhi mazingira na maliasili James Lembeli  amesema...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

  WAKENYA WALIVYOANDAMANA JUNE 11 NA KINYAGO CHA NGURUWE  WAKIPINGA MISHAHARA YA WABUNGE.Miungano ya kijamii ikiongozwa na Bunge la mwananchi,Muhuri na pawa 254 miongoni mwa mengine yameandaa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

RAIA WA KIGENI 19 WAKAMATWA TANGA .Pichani ni Wahabeshi 18 na raia mmoja wa Kenya wakiwa Makao Makuu ya Idara ya Uhamiaji mkoa wa  Tanga baada ya kunaswa jana wakiwa nchini kinyemela, hapa ni wakati...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA ZANZIBAR AZINDUA MRADI WA UMEME.

kada kwa pamoja wakifungua pazia kama ishara ya uzinduzi wa mradi wa uimarishaji Miundombinu ya Usambazaji Umeme Zanzibar,katika hafla iliyofanyika  Mtoni Kituo Kikuu cha Umeme,Wilaya ya Magharibi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

MSAKO WA POLISI DAR WAKUSANYA MILIONI 64 NA KUKAMATA MAJAMBAZI NANE.   Jeshi la Polisi Kanda Maalum ya Dar es Salaam limeendelea na operesheni mbalimbali kwa mafanikio, ikiwemo kukama wahalifu, kuokoa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

UPANUZI WA BARABARA KIWANGO CHA LAMI WASHIKA KASI NJOMBE. Ukarabati wa Barabara kwa Kiwango cha Lami ukiendelea Mjini Njombe. TANROAD Njombe waandaa sehemu za kushushia na kupakilia Abiria Mjini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

[Ivory coast]KUTUA BONGO KESHO.YAYA TOURE NA WENZAKE KUINGIA TANZANIA NA MSAFARA WA WATU 80 KESHO. Msafara wa timu ya Taifa ya Ivory Coast (The Elephants) wa watu 80 wakiwemo wachezaji 27 unatarajiwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 0

UJENZI WA ZAHANATI  YA ITAMBO WANGING'OMBE WAENDELEA SASA BAADA YA KUSIMAMA. Kulia mbele ni Kaimu Afisa Tarafa Mdandu Bwana Benson Wandelage akizungumza na wananchi wa Kijiji cha Itambo juu ya Ujenzi...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 7

BAJETI YA MWAKA 2013/2014 KUJULIKANA LEO.Waziri wa Fedha Dokta William Mgimwa akiwa na Kablasha la Bajeti ya Mwaka 2013/2014.Waziri Mgimwa asema Benki ya Wakulima Tanzania itaanzishwa ili kutoa mikopo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 6

MASHEMASI WATATU WAPATA UPADRE LEO JIMBO KUU LA NJOMBE. Kanisa la Roman Catholic Jimbo kuu la Njombe leo limetoa Upadrisho kwa Mapadre watatu. Mashemasi kabla ya kupata Sakramenti ya Upadre leo Jimbo...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 5

MALARIA KALI YAMUUA MSANI WA BONGO FLAVA 'LANGA' Msanii wa Muziki wa Kizazi Kipya Bongo aitwaye Langa Kileo afariki dunia leo kwa malaria kali.Taarifa za Kifo cha Msanii wa Muziki wa Bongo Flava Langa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 4

MTOTO WA SIKU NNE AKAA SIKU SITA SHIMONI.Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka azaliwe alipowekwa na mama yake kwenye mfuko wa mbolea na kutumbukizwa kwenye shimo...  Ndani ya shimo hilo amekaa siku 6...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 3

MVUTANO MKALI WA JINA LA MKOA MPYA UNAOGAWANYWA TOKA MKOA MAMA WA MBEYA.Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mbozi Ambakisye Minga Alisema hali ya miundombinu ni nzuri katika kila Wilaya zilizopendekezwa na...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 2

PSPF YAIDAI SERIKALI TRILIONI SITA HADI SASA. Wadau wa Mashirika yasiyo ya Kiserikali Mkoani Njombe akihoji mambo mbalimbali juu ya elimu ya PSPF. Washiriki wawakilishi wa Mashirika mbalimbali yasiyo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Article 1

MASELE MZIMA LICHA YA KUPATA AJALI.Habari za uhakika ni kuwa muigizaji wa vichekesho nchini maarufu kwa jina la Masele cha Pombe ni mzima wa afya na hajafariki kama baadhi ya tetesi zilivyoanza kuenea...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live