Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 4

$
0
0

MTOTO WA SIKU NNE AKAA SIKU SITA SHIMONI.

Mtoto Bahati Upendo mwenye siku 3 toka azaliwe alipowekwa na mama yake kwenye mfuko wa mbolea na kutumbukizwa kwenye shimo...
 
Ndani ya shimo hilo amekaa siku 6 bila kula wala kunywa hadi alipookotwa na wasamaria wema...

Hivi sasa yuko Hospitali ya Mkoa wa Ruvuma akiwa Salama  Salimini .

Yeyote Mwenye nafasi ya kumsaidia mtoto huyu anaweza kwenda moja kwa moja Hospitali.
 
NA MPEKUZI

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles