ALICHOKIZUNGUMZA MKE WA DEO FILIKUNJOMBE KWENYE MIAKA MIWILI YA KIFO CHAKE
Ikiwa ni miaka miwili imepita tangu aliyekuwa Mbunge wa Ludewa Deo Haule Filikunjombe afariki dunia, mke wa wake Sarah Habiba amesema Tanzania ina pengo kubwa kwa kumpoteza Deo. Kwenye ukurasa wake wa...
View ArticleUchaguzi Liberia: Weah na Boakai kuelekea duru ya pili ya uchaguzi wa rais
Nyota wa zamani wa soka George Weah na makamu wa rais Joseph Boake, wanaelekea duru ya pili ya uchaguzi kwenye uchaguzi wa rais nchini Liberia.Karibu matokeo yote kwenye uchaguzi wa siku ya Jumanne...
View ArticleWaziri awafukuza kazi maafisa wa serikali idara ya Maendeleo ya Mazao
Waziri wa kilimo Mhe Dkt Charles Tizeba amemuagiza Katibu mkuu wa Wizara ya Kilimo Mhandisi Methew Mtigumwe kuwafukuza kazi maafisa watatu wa idara ya Maendeleo ya Mazao katika sehemu ya pembejeo...
View ArticleSamson Mwigamba Ajiuzulu UONGOZI ACT- Wazalendo
Mwenyekiti wa Kamati ya Kampeni na Uchaguzi Taifa ya Chama Cha ACT Wazalendo Samson Mwigamba ameng'atuka nafasi yake hiyo katika chama hicho na kubaki mwananchama wa kawaida kwa madai ya kuwa ameona...
View ArticleLissu amfariji Nyalandu
Baada ya kukaa hospitali kwa zaidi ya mwezi mmoja Lissu akipatiwa matibabu, Mbunge wa Singida Kaskazini, Lazaro Nyalandu amekiri kuona tabasamu la Mbunge huyo aliyepigwa risasi mwezi uliopita na...
View ArticleAkamatwa akisafirisha mabomu kwenye madumu ya maji
Askari walimshtukia kijana huyo baada ya kupita kwenye vituo vitatu bila kusimama huku gari hilo likielekea kwenye kambi ya majeshi ya Umoja wa Mataifa kwa spidi kali.Polisi mjini Kabul wamesema...
View ArticleZitto amkumkumbuka Filikunjombe
Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amemkumbuka marehemu Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe ambae alifariki dunia baada ya helikopta aliyokuwa akiitumia kwaajili ya kampeni kupata ajali kwenye...
View ArticleWANAHABARI MKOA WA NJOMBE WAZULU KABURI LA ALIYEKUWA MBUNGE WA LUDEWA DEO...
Jana Oktoba 15 imetimia miaka miwili Tangu aliyekuwa Mbunge wa Ludewa marehemu Deo Filikunjombe afariki dunia kwa ajali ya HelkoptaWaandishi wa habari kutoka chama cha waandishi wa habari mkoa wa...
View ArticleWaziri MKUCHIKA kupeleka bungeni maombi umri wa kustaafu maprofesa uongezwe
Waziri wa Nchi, Ofisi ya Rais, Menejimenti ya Utumishi wa Umma na Utawala Bora, George Mkuchika amesema ana mpango wa kupeleka bungeni maombi ya kuongezwa muda wa kustaafu maprofesa.Amesema umri wa...
View ArticleWaziri Mkuu awaonya mawaziri
Waziri Mkuu Kassim Majaliwa amewaonya mawaziri na kuwataka watumie madaraka yao kwa manufaa ya Taifa na kamwe wasiyatumie kama fursa ya kujitajirisha wao binafsi.Kassim Majaliwa amesema hayo leo Oktoba...
View ArticlePAUL MAKONDA AKABIDHI MAGARI POLISI
Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam Mheshimiwa Paul Makonda jana Oktoba 22 amekabidhi Magari ya kisasa 18 kati ya 26 yaliyopelekwa Mkoani Kilimanjaro yakiwa Mabovu (Mkweche) kwaajili ya kufufuliwa...
View ArticleVIBALI VYOTE VYA UWINDAJI VYAFUTWA NA KIGWANGALA
Waziri wa Maliasili na Utalii, Hamisi Kigwangalla amefuta vibali vyote vya uwindaji kwa kampuni kuanzia Oktoba 22,2017 na kutoa siku 60 kwa watendaji ili waratibu mchakato upya utakaowezesha vitalu...
View ArticleMakamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Idd Aishauri Serikali Ifute...
Makamu wa pili wa Rais Zanzibar, Balozi Seif Ali Iddi amesema ipo haja kwa Serikali kupitia Wizara ya Ardhi, Nyumba na Maendeleo ya Makazi kuangalia uwezekano wa kuondoa kodi ya ongezeko la thamani...
View ArticleWaziri Tillerson asema wanamgambo wa Shia Iraq 'warudi nyumbani'
Waziri wa mambo ya nje wa Marekani Rex Tillerson amewaambia wanamgambo wanaoungwa mkono na Iran nchini Iraq warudi nyumbani wakati vita dhidi ya kundi la Islamic State vinamalizika.Alitoa matamshi hayo...
View ArticleBomoa Bomoa Kuipitia Ofisi ya Mkuu wa Mkoa, Halmashauri, Tanesco, CCM
Wamiliki wa nyumba wa maeneo ya mjini waliojenga kwenye maeneo ya serikali Manispaa ya Songea Mkoani Ruvuma wamepewa notisi ya mwezi mmoja kubomoa nyumba hizo ambazo tayari zimewekewa alama X baada ya...
View ArticleRais Magufuli aombwa amtumbue haraka Mkurugenzi Ruvuma
Baraza la madiwani wa halmashauri ya wilaya ya Mbinga mji mkoani Ruvuma, wamemkataa mkurugenzi mtendaji wa halmashauri Bw. Robert Mageni na kumuomba rais wa jamhuri ya muungano wa Tanzania, Mhe. John...
View ArticleWatu 9 wanusurika kifo ndani ya nyumba mkoani Morogoro
Watu 9 familia mbili tofauti wamenusurika kifo kufuatia ajali ya moto uliotokea na kuunguza nyumba wanayo ishi katika mtaa wa Makongoro manispaa ya Morogoro huku samani za ndani zikiteketea kabisa...
View ArticleMagari yatakayosajiliwa Zanzibar Kutambulike Bara – Waziri Makamba
Waziri wa Nchi Ofisi ya Makamu wa Rais anayeshughulikia Muungano na Mazingira, Mhe. January Makamba leo ameshiriki kwenye uzinduzi wa kongamano la vijana kuhusu Muungano viziwani Zanzibar, lenye lengo...
View ArticleACACIA Watemwa.....Barrick Kuunda Kampuni Mpya ya Kusimamia Shughuli za...
Barrick Gold Corporation yenye makao yake jijini Toronto, Canada, litaunda kampuni mpya (sio Acacia) kuendesha migodi yake ya Bulyanhuru, Buzwagi na North Mara nchini Tanzania.Katika taarifa yake juu...
View Article