Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Zitto amkumkumbuka Filikunjombe

$
0
0

Mbunge wa Kigoma Mjini, Zitto Kabwe amemkumbuka marehemu Mbunge wa jimbo la Ludewa, Deo Filikunjombe ambae alifariki dunia baada ya helikopta aliyokuwa akiitumia kwaajili ya kampeni kupata ajali kwenye msitu wa Selous.

Mbunge Zitto amesema kuwa Filikunjombe alikuwa rafiki yake na ndugu yake hivyo bila uwepo wake ni majaribu makubwa.

Rafiki yangu, Ndugu yangu. Miaka miwili Sasa bila kuwa nawe. Ni majaribu makubwa kukubali kuwa haupo nasi. Mola akuweke mahala peponi. Naendelea kuombea familia moyo wa subira.

Ninakukumbuka Ndugu yangu Deo Haule Filikunjombe

Mhe. Deo Filikunjombe na abiria wengine walikuwa kwenye helikopta  yenye namba 5Y-DKK wakitokea Dar kuelekea Ludewa.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles