Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABADILIKO YA MUUNDO WA KAMATI ZA KUDUMU ZA BUNGE

Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mh. Job Ndugai akiongoza kikao cha wajumbe wakamati ya kanuni Katika Ofisiza Bunge leo Jijini Dar es Salaam.Spika waBunge la Jamhuri ya Muungano...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI NCHEMBA AZIDI KUTUMBUA MAJIBU SAFARI HII ZAMU YA WAHUJUMU WA PEMBEJEO .

Waziri Nchemba akiwa katika kikao hicho Watuhumiwa wakiwekwa chini ya ulinzi wa Polisi Ufuatiliaji wa Ugawaji wa pembejeo kwa wakulima,Nimefika wilaya ya Tunduru,Kata ya Nandembo na kata jirani...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI YATOA TAMKO KUHUSU TIBA ASILI NA TIBA MBADALA

 Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii,Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu akitoa uamuzi wa Serikali kuhusu Serikali kuhusu Tiba Asili  na TibaMbadala katika mkutano wa  waandishi  ulifanyika leo kwenye...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU MAMBO YA NDANI YA NCHI, MEJA JENERALI RWEGASIRA ALITAKA JESHI LA...

Katibu Mkuu wa Wizara ya Mambo ya Ndani ya Nchi, Meja Jenerali Projest Rwegasira (wapili kushoto) akiwasili Ofisi za Makao Makuu ya Jeshi la Zimamoto na Uokoaji, Mtaa wa Lumumba jijini Dar es Salaam...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KATIBU MKUU WIZARA YA MALIASILI NA UTALII MAJ. GEN. GAUDENCE MILANZI AONANA...

Katibu Mkuu Wizara ya Maliasili na Utalii Meja Generali Gaudence Milanzi (kulia) akizungumza na viongozi wa Kundi la Washirika wa Maendeleo katika sekta ya Mazingira, Maliasili na Mabadiliko ya Tabia...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LOWASSA NA MAALIM SEIF WAKUTANA ZANZIBAR

Aliyekuwa mgombea urais Zanzibar kupitia CUF , Maalim Seif Sharif Hamad akiwa na aliyekuwa mgombea urais wa Tanzania Edward Lowassa. Siku moja baada ya Mwenyekiti wa Tume ya Uchaguzi (ZEC), Jecha Salim...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI MKUU LESOTHO ATAKIWA KUTANGAZA MATOKEO YA TUME YA SADC

KIKAO maalum cha Wakuu wa Nchi na Serikali na Kamati ya Siasa, Ulinzi na Usalama ya Jumuiya ya Uchumi na Maendeleo ya nchi za Kusini mwa Afrika (SADC Double Troika) kimeiagiza Serikali ya Lesotho iwe...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

NAPE ASIMIKWA UCHIFU MKOANI MWANZA

 Waziri wa Habari, Utamaduni, Sanaa na Michezo Mhe. Nape Nnauye (katikati)akizungumza na Machifu wa kisukuma kwenye kituo cha Utamaduni Bujora,kulia pichani ni Jaji Mstaafu Mark Bomani na kushoto ni...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

SHUGHULI MBALIMBALIZA WAZIRI MKUU MAJLIWA BUNGENI

 Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akizungumza na Wabunhe kwenye jengo la utawala la Bunge mjini Dodoma Januari 24, 2016. Kutoka kushoto  ni  Dkt. Raphael Chegeni wa Busega, Adadi Rajabu wa Mhuheza  na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT MAGUFULI AMSIMAMISHA KAZI MKURUGENZI MKUU WA MAMLAKA YA VITAMBULISHO...

Rais Dk. John Magufuli ametengua uteuzi wa Mkurugenzi Mkuu wa Mamlaka ya Vitambulisho vya Taifa (NIDA), Dickson Maimu (pichani) kuanzia leo.Aidha, baada ya utenguzi huo, Maimu amesimamishwa kazi...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Cheka awasili kutoka Zambia na kutema Cheche pambano lake dhidi ya Ajetovic

Mkurugenzi Mtendaji wa Kampuni ya Advanced Security, Juma Ndambile ambaye pia ni meneja wa bondia Francis Cheka akisisitiza jambo wakati wa mkutano na waandishi wa habari baada ya bondia huyo kurejea...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

LUKUVI AWAAGIZA WATENDAJI WA HALMASHAURI YA MANISPAA YA ILALA NA SHIRIKA LA...

 Jengo refu lilojengwa chini ya kiwango lililopo katika mtaa wa Indiraghandi jijini Dar,kama lionekanavyo pichani. Sehemu ya jengo ambayo inaonekana imepasuka.Picha na Emmanue Massaka wa Globu ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI WA NCHI OFISI YA RAISI TAMISEMI, SIMBACHAWENE ATEMBELEA MFUKO WA...

WAZIRI wa nchi Ofisi ya Rais Tamisemi, George Simba chawene ametembelea ofisi za Mfuko wa Pension wa LAPF mjini Dodoma Leo. Katika ziara hiyo mh. Waziri amepongeza jitihada za Mfuko kuongeza Wanachana...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

KILELE CHA WIKI YA SHERIA NCHINI,WANASHERIA NJOMBE WATAKIWA KUWEKA UZALENDO...

VYOMBO VYA SHERIA NCHINI VYATAKIWA KUTOWEKA PESA MBELE ILI HAKI ITENDEKE KWA WOTE KUANZIA WANANCHI WA KIPATO CHA CHINI HADI WENYE UWEZO KWAYA YA VIJANA  KKKT MAKAMBAKO  KANISA LA JOGOO WAKIWA KWENYE...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DK. KINGWANGALLA ATOA SIKU 60 KWA HOSPITALI YA KANDA YA RUFAA MBEYA, KUNUNUA...

Naibu Waziri wa Wizara ya Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Mhe. Dk. Hamisi Kingwangalla akisisitiza suala la Hospitali ya Kanda ya Rufaa ya Nyanda za juu kusini- Mbeya kununua mashine...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DOKTA MAGUFULI LIVE AKIZUNGUMZA NA WAZEE WA DAR MUDA HUU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

ASYA IDAROUS KHAMSIN AFANYIWA MAHOJIANO BBC LONDON, LADY IN RED, RICH MAVOKO...

 Mtangazaji idhaa ya Kiswahili BBC London Maryam akimfanyia mahajiano nguli wa mitindo Bi. Asya Idarous Khamsin jijini London siku ya Ijumaa Februari 12, 2016 mahojiano maalum kwa ajili ya Lady in Red...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

LEICESTER CITY YALIA DAKIKA YA MWISHO YA NYONGEZA DHIDI YA ARSENAL 2-1

Walcott (katikati) akishangilia bao lake pamoja na Sanchez (kushoto) na Ozil.Straika wa Leicester City, Jamie Vardy, akiifunga timu yake bao kwa njia ya mkwaju wa penalti dhidi ya Arsenal kwenye mchezo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Kheri ya VALENTINE DAY WADAU WA MTANDAO HUU

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WAZIRI UMMY MWALIMU ATEMBELEA MUHIMBILI KUKAGUA UTEKELEZAJI WA AGIZO LA RAIS...

Waziri wa Afya, Maendeleo ya Jamii, Jinsia, Wazee na Watoto, Ummy Mwalimu ametembelea hospitali ya Taifa Muhimbili kukagua utekelezaji wa agizo la Rais John Magufuli la kuwataka watumishi wa wizara...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live