NJOMBE PRESS CLUB YAWAKUTANISHA WADAU WA HABARI
wadau na waandishi wa habari wakisikiliza mada katika mkutano uliowakutanisha wadau wa habari mkoani njombe katika ukumbe wa fm hotel kujadili haali ya uchaguzi mwaka huumhasibu wa njombe press club...
View ArticleTAARIFA YA JESHI LA POLISI MKOANI MBEYA
MTU MMOJA MKAZI WA NZOVWE JIJINI MBEYA ANASHIKILIWA NA JESHI LA POLISI MKOA WA MBEYA AKIWA NA MALI YA WIZI.MTU MMOJA MKAZI WA NZOVWE JIJINI MBEYA ALIYETAMBULIKA KWA JINA LA BARAKA SHANSIYA (26)...
View ArticleWANAHABARI NJOMBE WANOLEWA JUU YA HABARI ZA MAKALA KUPITIA NPC
Mkufunzi wa Habari za Makala Kwa Wanahabari toka Vyombo Mbalimbali vya habari Kupitia Chama Cha Waandishi wa Habari Mkoa wa Njombe[NPC] Bi.Agnes Kabigi Akiwaseminisha Wanahabari hao Baadhi ya...
View ArticleRAIS KIKWETE AZIMA MWENGE WA UHURU MJINI DODOMA
Kiongozi wa Mbio za Mwenge kitaifa Ndugu Juma Khatib Chum akimkabidhi Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete mwenge wa uhuru wakati wa sherehe za kilele cha Mbio za Mwenge zilizofanyika katika Uwanja wa...
View ArticleRAIS KIKWETE AFUNGUA RASMI JENGO LA OFISI YA TAIFA YA UKAGUZI DODOMA
Muonekano wa Jengo la Ofisi ya Taifa ya Ukaguzi ambalo limefunguliwa rasmi na Rais Kikwete mjini Dodoma.Mheshimiwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete, leo, tarehe 15...
View ArticleMGOMBEA UBUNGE NJOMBE KUSINI[MJINI][CHADEMA]ATEKA WAKAZI UWEMBA,IWUNGILO NA...
Mgombea Ubunge Jimbo la Njombe Kusini Emmanuel Masonga Kupitia Tiketi ya CHADEMA Akizungumza na Wakazi wa Kijiji Cha IwungiloBaadhi ya Wakazi wa Kijiji Cha Iwungilo Wakimsikiliza Mgombea Ubunge wa...
View ArticleMAZISHI YA DK.EMMANUEL MAKAIDI KUFANYIKA MAKABURI YA SINZA, MWILI WAKE KUAGWA...
Mjane wa aliyekuwa Mwenyekiti Mwenza wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), Dk. Emmanuel Makaidi, Modesta Ponela Makaidi akiwa katika huzuni baada ya kuondokewa na mpendwa wake.Mtoto wa kwanza wa Dk....
View ArticleRais Kikwete azindua Mradi wa Kusaga Kototo Pongwe Msungura
Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akifunua kitambaa katika jiwe la msingi kuzindua mradi wa kusaga kokoto uliopo katika kijiji cha Pongwe Msungura Wilayani Bagamoyo leo. Kulia ni Waziri wa Ulinzi na...
View ArticleRAIS KIKWETE AFANYA UTEUZI KATIKA MAHAKAMA
THE UNITED REPUBLIC OF TANZANIA DIRECTORATE OF PRESIDENTIAL COMMUNICATIONSTAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIRais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Mheshimiwa Dkt Jakaya Mrisho Kikwete amefanya uteuzi...
View ArticleMawaziri 5 waangushwa uchaguzini Tanzania
Image captionMakao makuu ya matokeo ya uchaguzi nchini TanzaniaMwaziri watano wa serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi katika majimbo yao,huku wagombea wengine wa Ubunge maarufu nao...
View ArticleRais Kikwete akabidhi vitabu Chuo Cha ulinzi cha Taifa (National Defence...
Amiri Jeshi Mkuu Rais Dkt.Jakaya Mrisho Kikwete akimkabidhi Mkuu wa Majeshi ya Ulinzi Jenerali Davis Mwamunyange vitabu kwaajili ya Chuo Cha ulinzi cha Taifa National Defence College(NDC) katika hafla...
View ArticleMatokeo ya Ubunge :MWAMOTO NDIO MBUNGE KILOLO
Wananchi wa Lulanzi wakimpongeza Venance Mwamoto katikati baada ya kushinda Ubunge jimbo la KiloloWana ccm wakiwa na jeneza la Chadema..............................,,,,,,,,,,,,Matokeo ya Ubunge kilolo...
View ArticleMAWAZIRI WA JK WLIOANGUKA KWENYE NAFASI YA UBUNGE MWAKA HUU 2015
Mawaziri watano wa Serikali inayomaliza muda wake wameanguka kwenye uchaguzi majimboni mwao, sambamba na wagombea wengine maarufu wa Bunge lililopita baada ya matokeo ya kura zilizopigwa Jumapili...
View ArticleBAADHI YA VIJANA WA SOKO LA MBAO KAMBARAGE WAENDELEA KUPINGA MATOKEO YA...
Baadhi ya Vijana Wamekutana na Emmanuel Masonga Aliyekuwa Mgombea Ubunge Jimbo la Njombe Kusini CHADEMA Katika Soko la Mbao Huko Kambarage Mjini Njombe Wakitaka Kujua Sababu zaKushindwa Ubung...
View ArticleDOKTA MAGUFULI WA CCM ATANGAZWA KUINGIA IKULU RASMI
Mwenyekiti wa Tume ya Taifa ya Uchaguzi (NEC), Jaji mstaafu, Damian Lubuva Akimtangaza Dokta John Magufuli Kuwa Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Kwa Kupata Zaidi ya Kura Milioni Nane Waangalizi...
View ArticleDOKTA MAGUFULI ANYAKUA GAMBA LAKE
Tume ya uchaguzi ilisema Magufuli alipata asilimia 58.46 ya kura zilizopigwa Mgombea urais kupitia chama cha CCM John Mafuguli amepewa cheti cha ushindi baada ya kutangazwa kuwa mshindi wa uchaguzi...
View ArticleObama aing'oa Burundi kutoka kwenye AGOA
Marekani imeiondoa Burundi kutoka kwenye mikataba yake ya kibiashara AGOA iliyowezesha mataifa ya Afrika kuingiza bidhaa zao katika soko la Marekani bila kulipa kodi. Marekani imeiondoa Burundi kutoka...
View ArticleMaalim Seif: Uchaguzi ulifanyika bila malalamiko
Mgombea Urais wa Zanzibar kwa tiketi ya chama cha wananchi CUF na Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar, Maalim Seif Sharif Hamad amesema kuwa, hakuna malalamiko yoyote yaliyowasilishwa siku ya kupiga...
View ArticleMWANAJESHI WA JWTZ ZANZIBAR ANUSURIKA KIFO KATIKA AJALI YA GARI KIJIJI CHA...
Muonekano wa Gari hilo kama linavyoonekana baada ya kupata ajali eneo la kijiji cha Kibele, Wilaya ya Kati Mkoa wa Kusini Unguja Novemba 1, 2015 kwa kile kilichoelezwa kuwa ni mwendo kasi wa gari...
View ArticleWAZIRI MKUU AZINDUA CHAMA CHA WAFUGANYUKI
*Ataka tafiti ziongezeke, branding zipewe kipaumbeleWAZIRI MKUU Mizengo Pinda amezindua Chama cha Kuendeleza Ufugaji Nyuki Tanzania (Tanzania Beekeeping Development Organization– TABEDO) na kukitaka...
View Article