Watu watatu wamefariki na 34 kujeruhiwa katika ajali ya basi la kampuni ya ILYANA mkoani Njombe

Mwenyekiti kamati ya ulinzi na usalama ambaye pia ni mkuu wa mkoa wa Njombe Christopher Olesendeka amesema kuwa Dereva aliyesababisha ajali na kukimbia anatufutwa ili afikishwe kwenye vyombo vya sheria. Kaimu mganga Mfawidhi wa hospitali ya mkoa wa Njombe Kibena Isaya Mvinge amesema kuwa utambuzi wa miili ya waliofariki umefanyika ambapo watu wawili wametambuliwa akiwemo mfanyakazi wa Wakala wa kununua nafaka NFRA Pindaheri Jacobu Singa Ruvuma huku akibainisha kuwa mwananmke alipata ajali akiwa mjazito amefanyiwa oparesheni na mtoto anaendelea vizuri.
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI.....................
TAZAMA VIDEO HAPA CHINI.....................