Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 0

$
0
0

KINANA AKWEA KWA TRENI MAKAMBAKO LEO ASUBUHI BAADA YA ZIARA YAKE MKOANI NJOMBE.

Katibu Mkuu wa CCM, Abdulrahman Kinana akisalimiana na baadhi ya walimu na viongozi wa vyuo vya elimu ya juu alipowasili kuzungumza nao pamoja na wananfunzi wa vyuo vya elimu ya juu mjini Njombe leo.
Katibu wa NEC-CCM wa Itikadi na Uenezi, Nape Nnauye akisalimiana na viongozi hao
Baadhi ya wanafunzi na walimu wa elimu ya juu wakipiga makofi wakati wa kumkaribisha Kinana kuzungumza nao.
Wanafunzi na viongozi wao wakisikiliza kwa makini wakati Kinana akijibu maswali waliyouliza
Mmoja wa viongozi wanafunzi hao akitoa kero mbalimbali wanazozipata katika Chuo cha Uuuguzi cha Kibena, ambapo baadhi ya wanafunzi wasiokuwa na uwezo wa kulipa ada  hunyimwa chakula na baadhi ya majengo ya shule kufungwa na mkandarasi kwa madai kwamba kutolipwa madai ya fedha za ujenzi.
Mwanafunzi wa Chuo Kikuu cha Iringa, Amani, Mohamed Saad akielezea mbele ya Kinana jinsi vijana wanaomalizi vyuo vikuu wanavyokosa kupatiwa kazi kwa kisingizio cha kigezo  kutokuwa na uzoefu wa miaka mitatu
Kinana akizungumza na wanafunzi, walimu na viongozi wa elimu ya juu
Wasanii wa Kikunndi cha  Vicheko kikitumbuiza katika onesho la kuzinduz albamu za muziki mjini Njombe leo.
Kikundicha muziki wa kizazi kipya cha Kibena Art kinachomilikiwa na Umoja wa Vijana wa CCM kikitubuiza wakati wa onesho hilo
Kinana akizindua albamu za kikundi cha Vicheko wakati wa onesho hilo maalumu lililofanyika leo mjini Njombe ambapo kiongozi huyo wa CCM alikuwa mgeni rasmi.
Wanafunzi wa vyuo vya elimu ya juu wakila kiapo cha utii kwa CCM baada ya kujiunga na Umoja wa Vijana wa CCM wakati wa onesho hilo maalum kwa uzinduzi wa albamu za kikundi cha Vicheko.PICHA ZOTE NA KAMANDA RICHARD MWAIKENDA

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles