Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 16

$
0
0

MTOTO ATELEKEZWA MKOANI IRINGA.



Mwenyekiti  wa  serikali ya mtaa wa Ndiuka  A akionyesha  dawa  za mtoto huyo


Mtoto  aliyetelekezwa
Polisi wakifika eneo la  tukio

Polisi wakiingia  kwa mwenyekiti wa mtaa aliko mtoto









Mchango  kwa  ajili ya mtoto






































Mwanamke  aliyetambuliwa  kwa  jina la Stella Mnyagani mwenyeji  wa Mabadaga Chimala wilaya ya  Mbarali mkoa  wa  Mbeya  atelekeza  mtoto  wake  wa  kiume  nje ya  duka  moja  eneo la Ndiuka  'A' katika Manispaa ya  Iringa.

Mtoto  huyo  wa  kiume anayekadiliwa  kuwa na  mwaka  mmoja alikutwa  jana majira ya saa 2 usiku katika  eneo hilo la Ndiuka  'A' huku  akiwa na vifurushi  viwili  vya nguo  pamoja na dawa  za aina  mbali mbali .

Mwenyekiti  wa  serikali ya  mtaa  huo  wa Ndiuka  A Siwema  Ally  alisema  kuwa  mtoto  huyo  aliokotwa na  wasamaria  wema na kupelekwa  kwake  kabla ya  kuchukuliwa na  polisi na  kupelekwa  kituo cha yatima  cha Daily  Bread Life MInistries kinachomilikiwa na Neema Mpeli

Mwanamke  huyo pia  aliacha namba  za  simu ambazo ni  0766663281 inayomilikiwa na Kastori Mlyatage  pamoja na namba  ya Mahenge  wa  Mabadaga  0753493063  na  namba ya mama  Fatuma  0757 519270 pamoja na barua  inayoonyesha  alisaidia  kituo cha  polisi Makambako  kwa  ajili ya Kwenda Singida

kwa hisani ya Francisgodwin

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles