Naibu Inspekta Jenerali wa Polisi, Abdulrahman Kaniki akitoa maelekezo ya kazi kwa Kamishna wa Polisi Zanzibar, Hamdan Makame wakati wa ziara ya kikazi katika kisiwa cha Pemba wakati alipokuwa katika ziara ya kikazi katika visiwa vya Unguja na Pemba hivi karibuni.(Picha na Frank Geofray-Jeshi la Polisi)