Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 2

$
0
0

RC-NJOMBE  DKT  NCHIMBI  AVITAKA  VYAMA  VYA  SIASA  KUTUMIA MIKUTANO YAO KUZUNGUMZIA UKIMWI NJOMBE

Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi akitoa hotuba ya ufunguzi hii leo Novemba 28, 2014

Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14 mwaka huu endapo utaingizwa ajenda ya UKIMWI na wagombea wenyewe, utasaidia kupunguza kasi ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kwa wananchi

Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Njombe Mh Dkt Rehema Nchimbi wakati akifungua kikao cha wadau wanaojadili namna ya kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi kilichoandaliwa na tume ya kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) kilichofanyika mkoani Njombe
 
 
 
Mwenyekiti Mtendaji wa Tume ya Kudhibiti UKIMWI Nchini Dokta Fatma Mrisho Akizungumza na Vyombo Vya Habari Mjini Njombe


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles