RC-NJOMBE DKT NCHIMBI AVITAKA VYAMA VYA SIASA KUTUMIA MIKUTANO YAO KUZUNGUMZIA UKIMWI NJOMBE
Mkuu wa mkoa wa Njombe Dkt Rehema Nchimbi akitoa hotuba ya ufunguzi hii leo Novemba 28, 2014
Uchaguzi wa serikali za mitaa unaotarajiwa kufanyika Desemba 14 mwaka huu endapo utaingizwa ajenda ya UKIMWI na wagombea wenyewe, utasaidia kupunguza kasi ya maambukizi mapya ya virusi vya Ukimwi kwa wananchi
Hayo yamesemwa na mkuu wa mkoa wa Njombe Mh Dkt Rehema Nchimbi wakati akifungua kikao cha wadau wanaojadili namna ya kupunguza kasi ya maambukizi ya virusi vya Ukimwi kilichoandaliwa na tume ya kudhibiti Ukimwi (TACAIDS) kilichofanyika mkoani Njombe