Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS WA JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIA MHE. DKT. JOHN POMBE MAGUFULI...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mhe.  Dkt. John Pombe Magufuli akimwapisha Dkt. Rehema Nchimbi kuwa Mkuu wa Mkoa wa Njombe, Ikulu jijini Dar es salaam. Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania...

View Article


TANGAZA NA MTANDAO HUU KITAIFA NA KIMATAIFA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RC MKOA WA DAR ES SALAAM, PAUL MAKONDA APOKELEWA OFISINI KWAKE NA KUZUNGUMZA...

 Mkuu wa Mkoa wa Dar es Salaam, Paul Makonda akishukua kutoka kwenye gari lake la Ukuu wa Mkoa wakati alipokuwa akifika kwa mara ya kwanza ofisini kwake Dar es Salaam leo mchana. Katibu Tawala...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli aweka jiwe la Msingi ujenzi wa Kinyerezi II

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida , Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo, Mkurugenzi mkuu wa Tanesco...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

JWTZ LAKANUSHA KUPELEKWA WANAJESHI VISIWANI ZANZIBAR

 JESHI LA ULINZI LA WANANCHI WA TANZANIAKURUGENZI YA HABARI NA UHUSIANOTaarifa kwa Vyombo vya HabariJeshi la Ulinzi la Wananchi wa Tanzania (JWTZ) linapenda kutoa taarifa kwa Umma juu ya uvumi ulioenea...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS MHE. JOHN POMBE MAGUFULI AKAGUA NA KUWEKA JIWE LA MSINGI KATIKA UJENZI...

 Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Mheshimiwa Dkt. John Pombe Magufuli akiwa na Balozi wa Japan nchini Masaharu Yoshida, Waziri wa Nishati na Madini Profesa Sospeter Muhongo, Mwenyekiti wa Chama...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

DC WANGING'OMBE ATOA SIKU 7 KWA WAKUU WA SHULE KUHAKIKISHA WATOTO WANARIPOTI...

 Mkuu wa Wilaya ya Wanging'ombe Dokta Asumpta Mshama wa pili kulia akizungumza kwenye kikao cha Wakuu wa shule za sekondari Baadhi ya Wakuu wa Shule za Sekondari na Wenyeviti wa Bodi Wakiwa na Mkuu wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

KAMATI YA BUNGE YA MAENDELEO YA JAMII YATEMBELEA MFUKO WA BIMA YA AFYA (NHIF)

 Mbunge wa Busega na Kaimu  Mwenyekiti wa Kamati ya Bunge ya Kudumu ya Maendeleo ya jamii Mh. Raphael Chegeni akisaini kitabu cha wageni mara baada ya wajumbe wa kamati hiyo kuwasili katika ofisi za...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MWIGULU AONYA KUHUSU MAUAJI YA KISIASA

WAZIRI wa Kilimo, Mifugo na Uvuvi,  Bw. Mwigulu Nchemba amesema hakuna chama cha siasa ambacho kinaweza kuthaminishwa na maisha ya mwanadamu na kwamba wananchi hawana sababu ya kupigana na kutoanabugai...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MKUU WA WILAYA YA NJOMBE SARAH DUMBA AFARIKI GHAFLA

Aliyekuwa Mkuu wa Wilaya ya Njombe, Bi. Sarah Dumba katika picha enzi za uhai wake..

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Mstaafu Dkt. Jakaya Kikwete awasili Tunisia kusuluhisha mgogoro wa Libya

Rais Mstaafu wa awamu ya nne Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete na Mwakilishi Maalum wa Umoja wa Afrika wa Usuluhishi wa Mgogoro wa Libya, amewasili jana Jijini Tunis nchini Tunisia  kushiriki Mkutano wa 8 wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Tuhuma za Rushwa: Hussein Bashe Naye Ajiuzulu Ujumbe wa Kamati ya Bunge

Mbunge wa Nzega Mjini na Kiongozi wa chama cha CCM, ameishtumu Kamati ya Huduma za Jamii anayohudumu kuwa kuna baadhi ya Wajumbe wammepokea rushwa.Kutokana na shtuma hizo ameamua kuungana  na  Zitto...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

RATIBA YA KUAGA MWILI WA ALIYEKUWA MKUU WA WILAYA YA NJOMBE SARAH DUMBA

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

UKAWA Washinda Umeya wa jiji la Dar es Salaam....Wamepata Kura 84, CCM Kura 67

Hatimaye uchaguzi wa Meya wa jiji la Dar es Salaam umekamilika leo katika ukumbi wa Karimjee, na kushuhudia Isaya Mwita wa Chama Cha Demokrasia na Maendeleo (Chadema) akitangazwa kuwa mshindi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zitto baada ya kumwandikia Spika barua ya kujiuzulu

Gazeti la Mtanzania leo March 22 limeripoti kuhusu kamati za Bunge kutarajiwa kufanyiwa mabadiliko makubwa baada ya ripoti ya uchunguzi wa mwenendo wa wabunge kuwatuhumu baadhi yao kujihusisha na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

MABADILIKO YA RATIBA SHUGHULI ZA KAMATI ZA BUNGE

JAMHURI YA MUUNGANO WA TANZANIABUNGE LA TANZANIATAARIFA KWA UMMAKufuatia mabadiliko ya tarehe ya kupokea Mapendekezo ya Mpango na kiwango cha Ukomo wa Bajeti ya Serikali kwa Mwaka wa Fedha 2016/2017,...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Zaidi ya watu 150 wamejitokeza kuhakiki silaha zao.

Na. Immaculate Makilika –MAELEZO……………………………………..Mkurugenzi  wa Upelelezi wa Makosa ya Jinai, Kamishna wa Polisi Diwani Athumani amesema hadi kufikia sasa zaidi ya watu 150  wamejitokeza  kuhakiki wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

JESHI LA POLISI MKOA WA NJOMBE LAJIPANGA SAWASAWA KUKABILIANA NA UHARIFU...

 KAMANDA WA JESHI LA POLISI MKOA WA NJOMBE PLODENSiANA PLOTAS  AKIZUNGUMZA  NA WAANDISHI AKIWA OFISINI KWAKEJeshi La Polisi Mkoa Wa Njombe Limesema Limejipanga Kikamilifu Kudumisha Amani Na Utulivu Kwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

IJUMAA KUU[YESU AFA MSALABANI SAA TISA ALASIRI LEO

SIKU ya tatu atafufuka  Aleluyaaaaaa

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SIKU YA TATU AMEFUFUKA......HALELUYAAAAAAAAA

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live