Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu: Tutapitia Upya Sababu Za Kuanzishwa Kwa Rubada

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali itapitia upya sababu za kuanzishwa kwa Mamlaka ya Bonde la Mto Rufiji (RUBADA) kufuatia mamlaka hiyo kuendeshwa kwa ubabaishaji.Hatua hiyo imekuja baada ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Ndege Ya Pili Ya Bombardier Q-400 Yawasili Jijini Dar Es Salaam Rais Magufuli...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania, Dkt. John Pombe Magufuli kesho anatarajiwa kuzindua ndege mbili mpya aina ya Bombardier Q 400 zilizonunuliwa na Serikali hivi karibuni.Katibu Mkuu wa Wizara ya...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Rais Magufuli Apokea Msaada Wa Tsh.milioni 545 Kutoka Serikali Ya India Kwa...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli, leo tarehe 27 Septemba, 2016 amepokea msaada wa Shilingi Milioni 545 kutoka kwa Waziri Mkuu wa India Mhe. Narendra Modi kwa ajili ya...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu wenye silaha washambulia Mandera, Kenya

Eneo la Mandera limekuwa likishambuliwa mara kwa mara na wapiganaji wa al-Shabaab Watu kadha wanahofiwa kufariki baada ya watu wenye silaha kushambulia mtaa mmoja mjini Mandera, kaskazini mashariki mwa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Serikali Yatangaza kiama kwa Madalali wa Ardhi na Nyumba

WAZIRI wa Ardhi, Nyumba na  Maendeleo ya Makazi, William Lukuvi ametishia kuwafutia usajili baadhi ya madalali wa ardhi na nyumba, kutokana na utendaji wao unaokiuka sheria wakati wa uuzwaji wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Waziri Mkuu alipotembelea wafanyabiashara wa Soko la Sabasaba mkoani Dodoma

Waziri Mkuu Kassim Majaliwa ameahidi kukutana na wafanyabiashara wa soko la Sabasaba mkoani Dodoma ili kuzungumzia namna ya kulikarabati na kulifanya liwe la kisasa.Amesema miongoni mwa mambo...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Lowassa na Kikwete Wakutana Uso Kwa Uoso Dar

Hatimaye mazishi ya kuuaga mwili wa Meya wa zamani wa Jiji la Dar es Salaam, Dk. Didas Masaburi, yamewakutanisha Waziri Mkuu wa zamani, Edward Lowassa na Rais mstaafu wa awamu ya nne, Jakaya Kikwete...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Watu 13 Kizimbani Kwa Mauaji ya Watafiti Dodoma

Wanawake wanne na wanaume tisa wamefikishwa mahakamani mjini Dodoma na kusomewa mashtaka ya mauaji ya watafiti wa Chuo cha Utafiti wa Udongo na Maendeleo ya Ardhi kilichopo Selian mkoani Arusha. Mbele...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Jambazi Awajeruhi Kwa Bomu Askari na Raia Wanne Kigoma

Polisi na raia wanne wamejeruhiwa kwa bomu la kutupwa kwa mkono walipokuwa wakimkamata mtuhumiwa wa ujambazi kwenye Kijiji cha Uvinza mkoani Kigoma. Kamanda wa Polisi Mkoa wa Kigoma, Ferdinand Mtui...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga Afikishwa Mahakamani Kwa Kosa...

Ilikuwa kama mchezo wa kuigiza kwenye Mahakama ya Hakimu Mkazi Morogoro baada ya Mkurugenzi wa Halmashauri ya Wilaya ya Mkinga mkoani Tanga, Emmanuel Mkumbo kufikishwa ili apandishwe kizimbani kujibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

WATU 10 WAFA KWA AJALI YA BASI LA BARCELONA LINDI

Watu 10 wamefariki dunia na wengine 44 wamejeruhiwa baada ya basi la kampuni ya Barcelona walilokuwa wakisafiria kutoka jijini Dar es Salaam kwenda mkoani Lindi  kupata ajali eneo na Miteja mkoani...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

Mahakama Yaitupilia Mbali Kesi Ya Mbowe Hotels Dhidi Ya Shirika La Nyumba La...

Mahakama kuu kitengo cha Ardhi imetupilia mbali kesi ya maombi ya kurejea katika jengo iliyokuwa ofisi ya Tanzania Daima pamoja na ukumbi wa bilcanas.Hukumu hiyo imetolewa leo na Jaji mfawidhi wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

BREAKING NEWZZZZZZZZZZZZZZ,MATOKEO DARASA LA SABA 2016 YATANGAZWA

Serikali Yatangaza Matokeo ya Mtihani Darasa la 7......Bofya hapa Kuyaona Serikali  imetangaza  matokeo  ya  mtihani  wa  darasa  la  7 kwa mwaka 2016  ambapo ufaulu  umeongezeka  kwa asilimia 2.52 na...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

TUMPIGIE KURA RAIS WETU DKT JOHN POMBE MAGUFULI KATIKA TUZO YA WATU MASHUHURI...

Rais wetu Dkt  John Pombe Magufuli kachaguliwa na FOBES kushindania Tuzo ya Mtu mashuhuri wa Mwaka 2016 Africa!Tumpigie kura kwa wingi ili iatangaze Nchi yetu Duniani Kote,unaweza bofya link chini...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

UBALOZI WA PAPA, MAKANISA YAAMUA KUJENGA OFISI DODOMA

27 Oktoba, 2016  TAARIFA KWA VYOMBO VYA HABARIUBALOZI WA PAPA, MAKANISA YAAMUA KUJENGA OFISI DODOMA* Yaomba kupatiwa viwanja, Waziri Mkuu awahakikishia vipoWAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

RAIS DKT. MAGUFULI AKUTANA NA KUFANYA MAZUNGUMZO NA MKURUGENZI MKUU WA MFUKO...

Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Dkt. John Pombe Magufuli akisalimiana na Mkurugenzi Mkuu wa Mfuko wa Maendeleo wa Abu Dhabi Mohamed Al Suwaidi aliyefika Ikulu kwa ajili ya mazungumzo.Rais wa...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

MUSWADA WA HABARI WAONGEZA UKAKASI KWA WADAU WA HABARI

Wahariri wamuangukia Rais Magufuli.......Wamtaka Amshughulikie Serukamba Kwa Kuvuruga Muswada wa Habar Jukwaa la Wahariri Tanzania (TEF) limemwomba Rais John Magufuli kumshughulikia Mwenyekiti wa...

View Article


Image may be NSFW.
Clik here to view.

WANAFUNZI 408,442 KIDATO CHA NNE WAMEANZA MTIHANI WA MWISHO LEO

Watahiniwa 408,442 wamesajiliwa na Baraza la Mitihani Tanzania (Necta) kufanya Mtihani wa Kidato cha Nne unaotarajia kuanza leo hadi Novemba 18, mwaka huu.Akizungumzia maandalizi ya mtihani huo, Katibu...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

SERIKALI IMETOA SH. BILIONI 2.4 KUBORESHA MRADI WA MAJI MAKAMBAKO-MAJALIWA

WAZIRI MKUU Kassim Majaliwa amesema Serikali imetoa sh. bilioni 2.4 kwa ajili ya kuboresha mradi wa maji katika mji wa Makambako mkoani NjombeAmetoa kauli hiyo jana jioni (Alhamisi, Januari 19, 2017)...

View Article

Image may be NSFW.
Clik here to view.

TOENI ELIMU YA URAIA KWA WAHUDUMU WA HOTELI NA ‘GESTI‘-MAJALIWA

Waziri Mkuu, Kassim Majaliwa akihutubia mkutano wa hadhara kwenye uwanja wa polisi katika mji wa Makambako akiwa katika ziara ya mkoa wa Njombe Januari 19, 2017. Wananchi wa Makambako mkoani Njombe...

View Article
Browsing all 2276 articles
Browse latest View live