STEVE NYERERE AJIINGIZA KWENYE SIASA, AUKWAA UKAMANDA WA CCM











MWENYEKITI wa kundi la Bongo Muvi Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ jana alisimikwa kuwa kamanda wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ tawi la Bwawani.
tukio la kusimikwa kwa mwenyekiti huyo lilikutanisha mastaa kibao wa Bongo Muvi pamoja na wananchi mbalimbali waishio maeneo hayo.
(Picha habari: Shakoor Jongo /GPL.)