Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 1

$
0
0

STEVE NYERERE AJIINGIZA KWENYE SIASA, AUKWAA UKAMANDA WA CCM

Baadhi ya mastaa wa Bongo Muvi wakiwasili eneo la tukio, Wanachama wa CCM na watu wengine Wakiingia eneo hilo huku wakiwa wameongozana na Steve Nyerere
Steve Nyerere akiwasalimia wananchi
Mmoja wa wageni waalikwa wakizindua shina lililopewa jina Steve Nyerere
Steve Nyerere akiwa katika picha ya pamoja na Mike Sangu pamoja na mgeni rasmi
Steve Nyerere akifungwa kitenge shingoni na mama yake mzazi
....Akiwa katika pozi na silaha za jadi alizokabidhiwa
...Akihutubia wananchi
Kundi la Makomandoo la waimbaji Bongofleva wakifanya yao

MWENYEKITI wa kundi la Bongo Muvi Steven Mengele ‘Steve Nyerere’ jana alisimikwa kuwa kamanda wa vijana wa Chama Cha Mapinduzi ‘CCM’ tawi la Bwawani.

tukio la kusimikwa kwa mwenyekiti huyo lilikutanisha  mastaa kibao wa Bongo Muvi pamoja na wananchi mbalimbali waishio maeneo hayo.
(Picha habari: Shakoor Jongo /GPL.)

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles