
Katika Kikao cha Bunge la Bajeti hii leo Bungeni mjini Dodoma Kafulila Aliomba Muongozo wa Spika Ili afahamu Muenendo wa Sakata Hilo la Tuhuma za Ufisadi wa Takribani shilingi Milioni 200 lakini Mbinu hiyo Imegonga Mwamba baada ya Spika Kumkandia na Kumtaka Kuacha Tabia ya Kutangaza Kila Jambo Kwenye Vyombo Vya Habari.
Spika Anne Makinda Amesema Tabia ya Mbunge Huyo Kukimbilia Kwenye Vyombo vya Habari Kueleza Hali ya Sakata Hilo Ilihali Tayari Bunge limeshatoa Maagizo ni utovu wa Nidhamu.
Aidha Makinda Amelazimika Kuizima Hoja Hiyo Kwa Kusema Kesi Hiyo Itafanyiwa Kazi na TAKUKURU na Si Bunge Tena hivyo Haina Haja ya Kuendelea Kuijadili Ambapo Pamoja na Mambo Mengine Mbunge Kafulila Alilalamikia Hatua ya Kutishiwa na Jaji Welema