MBUNGE WA JIMBO LA KALENGA AHITIMISHA ZIARA YAKE YA SIKU MBILI JIMBONI.
Diwani wa kata ya Mgama Denis Lupala kulia akidua ya mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa |
Mkazi wa Ihemi kulia akimpongeza mbunge Mgimwa baada ya kuahidi kuchangia kiasi cha Tsh 700,000 kwa ajili ya vikundi vipya vya Vikoba Ihemi |
Mbunge wa kalenga Bw Mgimwa akiwa katika picha ya pamoja na wanachama wa kikundi cha Tugele Vicoba Ihemi |
Diwani wa kata ya Mgama Denis Lupala kulia akidua ya mbunge wa jimbo la Kalenga Godfrey Mgimwa |