Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

JK AFUNGUA MKUTANO WA MAJAJI WANAWAKE JIJINI ARUSHA

$
0
0

Rais Dkt. Jakaya Mrisho Kikwete,Waziri wa Katiba na Sheria Dkt.Asha Rose Migiro,Jaji Mkuu Mohamed Othman Chande,pamoja na Rais wa Chama Cha Kimataifa cha Majaji Wanawake wakiimbaq wimbo wa taifa wakati wa ufunguzi wa Mkutano wa 12 wa chama hicho uliofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano wa Arusha AICC.Mkutano huo ulifunguliwa na Rais Kikwete.
Baadhi ya majaji wanawake wanaoshiriki Mkutano wa 12 wa Chama Cha Kimataifa cha Majaji wanawake unaofanyika katika ukumbi wa kimataifa wa mikutano mjini Arusha(picha na Freddy Maro).

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Majaji Wanawake Duniani, walitoka nchini,Mara baada ya kupungua mkutano huo rasmi.
Mkutano huo umeshirikisha takribani  wajumbe 600 kutoka nchi mbalimbali duniani. (Wa tatu kutoka kushoto ni Mhe. Mohamed Chnade Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania, wa pili kutoka kushoto ni, Mhe. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Katiba na Sheria, wa kwanza kushoto ni Jaji Mkuu wa Nigeria, Mhe. Aloma Mariam Mukhtar, wa pili kutoka kulia Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani (T), ambaye pia ni Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani, Mhe. Eusebia Munuo, wa kwanza kulia ni Mhe. Jaji Engera Kileo, Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania. (TAWJA).

Meza Kuu ikiwa katika picha ya pamoja na Wajumbe wa Mkutano huo kutoka Latin America.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles