

Mhe. Jakaya Mrisho Kikwete, Rais wa Jamhuri ya Muungano wa Tanzania akiwa katika picha ya pamoja na baadhi ya Washiriki wa Mkutano wa Majaji Wanawake Duniani, walitoka nchini,Mara baada ya kupungua mkutano huo rasmi.
Mkutano huo umeshirikisha takribani wajumbe 600 kutoka nchi mbalimbali duniani. (Wa tatu kutoka kushoto ni Mhe. Mohamed Chnade Othman, Jaji Mkuu wa Tanzania, wa pili kutoka kushoto ni, Mhe. Asha-Rose Migiro, Waziri wa Katiba na Sheria, wa kwanza kushoto ni Jaji Mkuu wa Nigeria, Mhe. Aloma Mariam Mukhtar, wa pili kutoka kulia Jaji Mstaafu wa Mahakama ya Rufani (T), ambaye pia ni Rais wa Chama cha Majaji Wanawake Duniani, Mhe. Eusebia Munuo, wa kwanza kulia ni Mhe. Jaji Engera Kileo, Mwenyekiti wa Chama cha Majaji Wanawake Tanzania. (TAWJA).
