Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

MBUNGE MTEMVU AKABIDHI MIKOPO YA MAGARI,BAJAJI NA PIKIPIKI NA FEDHA KWA VICOBA TEMEKE DAR

$
0
0
 Mbunge wa Jimbo la Temeke, Abbas Mtemvu akimkabidhi ufunguo wa gari aina ya Noah katibu Mkuu wa Saccos ya Tujikwamue ya Chang'ombe, Dar es Salaam, Itika  Mwankenja katika hafla ya Taasisi ya PFT ya kukabidhi mikopo ya magari, bajaji, pikipiki na fedha kwa vicoba mbalimbali, Temeke, Dar es Salaam juzi. Mtemvu ni Mwenyekiti wa Taasisi hiyo.PICHA ZOTE NA KAMANDA WA MATUKIO BLOG
Itika akiangalia wakati Mtemvu akiliwasha gari hilo.
 Mtemvu akikabidhi mkopo wa bajaji kwa moja ya wana vicoba
 Mwenyekiti wa Mpakani B Vicoba, Mwaimuna Ali akikabidhiwa funguo wa bajaji kwa niaba ya wenzie
 Ni furaha iliyoje kwa kikundi hicho kupata mkopo wa bajaji
 Moja ya Vicdoba ikipatiwa mkopo wa pikipiki
Viongozi wa VICOBA ya VAMAU wakipatiwa funguo za pikipiki baada ya kukopeshwa na PFT

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles