Taswira ya Mji wa Njombe na Mazingira Yake.
Kaimu Meneja Mkuu wa Chama Kikuu Cha Ushirika Mkoa wa Njombe[NJORECU]Bwana Thomas Nyamba Akisoma taarifa ya Bodi ya Ushirika Huo.
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Njombe NJORECU Kimeelezea Mafanikio Yake Katika Kipindi cha Mwaka 2013 Ikiwemo Kuhamasisha Wakulima Kuboresha Kilimo Ili Mazao Wanayozalisha Yaweze Kupata Soko la Uhakika.
Aidha Chama Hicho Pia Kimefanikiwa Kutembelea na Kukagua Mali Zinazomikiwa na NJORECU Yakiwemo Maghala , Majengo Yanatumiwa na Wapangaji Katika Wilaya za Mkoa wa Njombe Pamoja na Ghala Lililoko Mkoani Iringa.
Akizungumza na mtandao huu Pembeni Mara Baada ya Kumalizika Kwa Mkutano Mkuu wa NJORECUÂ
Kaimu Meneja Mkuu wa Ushirika Huo Thomas Nyamba Amesema KwasasaUshirika Huo Umeonekana Kuwa na Uhitaji Mkubwa wa Wakulima na Kwamba Viongozi wa NJORECU
Wanatakiwa Kuwatembelea Wakulima Hao
Katika Maeneo Yao na Kutoa Elimu.
Bwana Nyamba Amesema Pamoja na Mafanikio Hayo Lakini Chama Hicho Kinakabiliwa na Changamoto
Kadhaa Ambazo Baadhi Zimeanza Kutatuliwa Kwa Kununua Vitendea Kazi Ili Kuepusha Usumbufu na
Gharama Zisizo za Lazima Ikiwemo Kompyuta na Printa Kwa Ajili ya Kutunza Kumbukumbu za Ofisi.
Katika Hatua Nyingine Kaimu Meneja Huyo Mkuu wa NJORECU Amesema Hivi Sasa Chama Hicho
Kinaendelea na Ukarabati wa Ofisi Zakena Kwamba Zinatarajia Kukamilika Agosti Mwaka Huu na Kwamba
Chama Hicho Kimefanya Uhakiki wa Mali za NJOREKU Katika Maeneo Yote.
Pamoja na Mambo Mengine Lakini Pia Chama Hicho Kimefanikia Kununua Baadhi ya Vitendea Kazi Ili
Kuepusha Usumbufu na Gharama Zisizo za Lazima Ikiwemo Kompyuta na Printa Kwa ajili ya Kutunza
Kumbukumbu za Ofisi.
Pamoja na Mambo Mengine Chama Hicho Kikuu cha Ushirika Kimefanikiwa Kutembelea Maeneo Yote Ziliko
Mali Za Ushirika Huo Likiwemo Ghala Lililopo Mkoani Iringa Pamoja na Maeneo Mbalimbali Katika Wilaya za Mkoa wa Njombe.
Kaimu Meneja Mkuu wa Chama Kikuu Cha Ushirika Mkoa wa Njombe[NJORECU]Bwana Thomas Nyamba Akisoma taarifa ya Bodi ya Ushirika Huo.
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Chama Kikuu cha Ushirika Mkoani Njombe NJORECU Kimeelezea Mafanikio Yake Katika Kipindi cha Mwaka 2013 Ikiwemo Kuhamasisha Wakulima Kuboresha Kilimo Ili Mazao Wanayozalisha Yaweze Kupata Soko la Uhakika.
Aidha Chama Hicho Pia Kimefanikiwa Kutembelea na Kukagua Mali Zinazomikiwa na NJORECU Yakiwemo Maghala , Majengo Yanatumiwa na Wapangaji Katika Wilaya za Mkoa wa Njombe Pamoja na Ghala Lililoko Mkoani Iringa.
Akizungumza na mtandao huu Pembeni Mara Baada ya Kumalizika Kwa Mkutano Mkuu wa NJORECUÂ
Kaimu Meneja Mkuu wa Ushirika Huo Thomas Nyamba Amesema KwasasaUshirika Huo Umeonekana Kuwa na Uhitaji Mkubwa wa Wakulima na Kwamba Viongozi wa NJORECU
Wanatakiwa Kuwatembelea Wakulima Hao
Katika Maeneo Yao na Kutoa Elimu.
Bwana Nyamba Amesema Pamoja na Mafanikio Hayo Lakini Chama Hicho Kinakabiliwa na Changamoto
Kadhaa Ambazo Baadhi Zimeanza Kutatuliwa Kwa Kununua Vitendea Kazi Ili Kuepusha Usumbufu na
Gharama Zisizo za Lazima Ikiwemo Kompyuta na Printa Kwa Ajili ya Kutunza Kumbukumbu za Ofisi.
Katika Hatua Nyingine Kaimu Meneja Huyo Mkuu wa NJORECU Amesema Hivi Sasa Chama Hicho
Kinaendelea na Ukarabati wa Ofisi Zakena Kwamba Zinatarajia Kukamilika Agosti Mwaka Huu na Kwamba
Chama Hicho Kimefanya Uhakiki wa Mali za NJOREKU Katika Maeneo Yote.
Pamoja na Mambo Mengine Lakini Pia Chama Hicho Kimefanikia Kununua Baadhi ya Vitendea Kazi Ili
Kuepusha Usumbufu na Gharama Zisizo za Lazima Ikiwemo Kompyuta na Printa Kwa ajili ya Kutunza
Kumbukumbu za Ofisi.
Pamoja na Mambo Mengine Chama Hicho Kikuu cha Ushirika Kimefanikiwa Kutembelea Maeneo Yote Ziliko
Mali Za Ushirika Huo Likiwemo Ghala Lililopo Mkoani Iringa Pamoja na Maeneo Mbalimbali Katika Wilaya za Mkoa wa Njombe.