Mkufunzi wa Mafunzo ya Wadau wa nishati ya umeme wa Maji ya Maporomoko Dokta Reonald Lweyemamu Akimkaribisha Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba Aliyekuwa Mgeni Rasmi Katika Ufunguzi wa Mafunzo Hayo Leo Mjini Njombe.
Wadau wa Nishati ya Umeme wa Maporomoko ya Maji Vijiji Kupitia Mradi wa REA Wakimsikiliza Mgeni Wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo Hayo.
Wadau wa Nishati ya Umeme wa Maporomoko ya maji Wakiwa Kwenye Picha ya Pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Baada ya Ufunguzi wa Mafunzo Hayo Leo Katika Ukumbi wa Nazareth Center Mjini Njombe.
Wadau Kutoka Mikoa Mbalimbali ya Tanzania Wanaoendelea na Mafunzo Juu ya Uendelezaji wa Vyanzo vya Maporomoko ya Maji Kwa ajili ya Kufua Nishati ya Umeme Mkoani Njombe.
Na Gabriel Kilamlya Njombe.
Serikali Imeagiza Kutekelezwa Kwa Vitendo Mafunzo Mbalimbali Yanayotolewa Katika Maeneo Mbalimbali Kwa Wajasiliamali Ili Kuendana na Dhima ya Serikali Katika Kuwakwamua Wananchi Kiuchumi.
Agizo Hilo Limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba Kwa Wadau Mbalimbali Kutoka Katika Mikoa Mbalimbali Hapa Nchini Ukiwemo Mkoa wa Njomb,Wadau Wanaopata Mafunzo Juu ya Uzalishaji wa Nishati ya Umeme Kupitia Maporomoko ya Maji
Akifungua Mafunzo Hayo ya Wiki Mbili Yanayofanyika Katika Ukumbi wa Nazareth Center Mjini Njombee Bi.Dumba Amesema Kuwa Haina Maana Endepo Serikali Inatoa Mafunzo Hayo Kupitia Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini REA Halafu Yakashindwa Kutumika Kwa Vitendo Ili Kutoa Huduma Kwa
Jamii.
Akizungumzia Lengo la Mafunzo Hayo Yanayoendelea Hadi Disemba 17 Mwaka Huu Mkufunzi wa Mafunzo Hayo Kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA Dokta Reonald Lweyemamu Amesema Kuwa Yamelenga Kuendeleza Miradi ya Maporomoko ya Maji Kwa ajili ya Kufua Nishati ya Umeme Iliyoanzishwa na Wadau Mbalimbali Katika Vijiji Mbalimbali Hapa Nchini Ukiwemo Mkoa wa Njombe.
Hope Mjema na Charity Nyava ni Miongoni Mwa Wadau wa Miradi ya Nishati ya Umeme wa Maji ya Maporomoko Hapa Nchini Ambao Kwa Niaba ya Wadau Wengine Wamesema Kuwa Wamekuwa Wakikumbana na Changamoto Mbalimbali Ikiwemo Jamii Kuendelea Kuharibu Mazingira Kwa Kuchoma Moto Misitu Kitu Kinachopelekea Kupungua Kwa Maji Kwenye Vyanzo Vyake Kisha Kulazimika Kujikita na Utoaji Elimu Juu ya Utunzaji wa Mazingira Katika Jamii.
Katika hatua nyingine wamesema kuwa endapo Miradi Hiyo Itakamilika kama walivyopanga basi Jamii Itanufaika na Nishati ya Umeme Kwa Bei ya Chini Kutokana na Mchango Wao.
Mafunzo Hayo Yaliyoandaliwa na Wakala wa Nishati Vijijini REA Yameanza Tangu Disemba Sita Mwaka Huu na Kuzinduliwa Rasmi Disemba 8 Yanatarajiwa Kuhitimishwa Disemba 17 Ikiwa Mkoa wa Njombe Ukionekana Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Maporomoko ya Maji ya Kufua Umeme Kuliko Mikoa Mingine Yote Hapa Nchini.
............................................................................................................................
Wadau wa Nishati ya Umeme wa Maporomoko ya Maji Vijiji Kupitia Mradi wa REA Wakimsikiliza Mgeni Wakati wa Ufunguzi wa Mafunzo Hayo.
Wadau wa Nishati ya Umeme wa Maporomoko ya maji Wakiwa Kwenye Picha ya Pamoja na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Baada ya Ufunguzi wa Mafunzo Hayo Leo Katika Ukumbi wa Nazareth Center Mjini Njombe.
Wadau Kutoka Mikoa Mbalimbali ya Tanzania Wanaoendelea na Mafunzo Juu ya Uendelezaji wa Vyanzo vya Maporomoko ya Maji Kwa ajili ya Kufua Nishati ya Umeme Mkoani Njombe.
Na Gabriel Kilamlya Njombe.
Serikali Imeagiza Kutekelezwa Kwa Vitendo Mafunzo Mbalimbali Yanayotolewa Katika Maeneo Mbalimbali Kwa Wajasiliamali Ili Kuendana na Dhima ya Serikali Katika Kuwakwamua Wananchi Kiuchumi.
Agizo Hilo Limetolewa na Mkuu wa Wilaya ya Njombe Bi.Sarah Dumba Kwa Wadau Mbalimbali Kutoka Katika Mikoa Mbalimbali Hapa Nchini Ukiwemo Mkoa wa Njomb,Wadau Wanaopata Mafunzo Juu ya Uzalishaji wa Nishati ya Umeme Kupitia Maporomoko ya Maji
Akifungua Mafunzo Hayo ya Wiki Mbili Yanayofanyika Katika Ukumbi wa Nazareth Center Mjini Njombee Bi.Dumba Amesema Kuwa Haina Maana Endepo Serikali Inatoa Mafunzo Hayo Kupitia Wakala wa Nishati ya Umeme Vijijini REA Halafu Yakashindwa Kutumika Kwa Vitendo Ili Kutoa Huduma Kwa
Jamii.
Akizungumzia Lengo la Mafunzo Hayo Yanayoendelea Hadi Disemba 17 Mwaka Huu Mkufunzi wa Mafunzo Hayo Kupitia Wakala wa Nishati Vijijini REA Dokta Reonald Lweyemamu Amesema Kuwa Yamelenga Kuendeleza Miradi ya Maporomoko ya Maji Kwa ajili ya Kufua Nishati ya Umeme Iliyoanzishwa na Wadau Mbalimbali Katika Vijiji Mbalimbali Hapa Nchini Ukiwemo Mkoa wa Njombe.
Hope Mjema na Charity Nyava ni Miongoni Mwa Wadau wa Miradi ya Nishati ya Umeme wa Maji ya Maporomoko Hapa Nchini Ambao Kwa Niaba ya Wadau Wengine Wamesema Kuwa Wamekuwa Wakikumbana na Changamoto Mbalimbali Ikiwemo Jamii Kuendelea Kuharibu Mazingira Kwa Kuchoma Moto Misitu Kitu Kinachopelekea Kupungua Kwa Maji Kwenye Vyanzo Vyake Kisha Kulazimika Kujikita na Utoaji Elimu Juu ya Utunzaji wa Mazingira Katika Jamii.
Katika hatua nyingine wamesema kuwa endapo Miradi Hiyo Itakamilika kama walivyopanga basi Jamii Itanufaika na Nishati ya Umeme Kwa Bei ya Chini Kutokana na Mchango Wao.
Mafunzo Hayo Yaliyoandaliwa na Wakala wa Nishati Vijijini REA Yameanza Tangu Disemba Sita Mwaka Huu na Kuzinduliwa Rasmi Disemba 8 Yanatarajiwa Kuhitimishwa Disemba 17 Ikiwa Mkoa wa Njombe Ukionekana Kuwa na Vyanzo Vingi Vya Maporomoko ya Maji ya Kufua Umeme Kuliko Mikoa Mingine Yote Hapa Nchini.
............................................................................................................................