GARI LAPINDUKA UWEMBA NJOMBE .
![]()
Wananchi wa Uwemba wilaya ya Njombe wakishuhudia ajali ya gari
Mbunge wa jimbo la Ludewa Deo Filikunjombe kulia akishuhudia ajali ya gali lenye namba T570BNP ambalo lilipinduka na dereva wake mwenye koti jekundi akiwa amechomoka katika gari hilo ambalo lilikuwa na abiria mmoja ambae pia amepona
Abiria wa gari hilo akiruka katika gari hilo baada ya ajali kutokea
Abiria aliyekuwemo katika gari hilo akijiokoa kwa kuruka katika gari mara baada ya kupinduka eneo la Uwemba barabara kuu ya Njombe - Ludewa
KWA Hisani ya Francis godwin