Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 5

$
0
0
WANANCHI KIHESA NJOMBE WATUPIWA MZIGO WA KUJENGA DARAJA. Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Njombe Bwana Edwin Mwanzinga akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com juu yaUjenzi wa Daraja Hilo leo 

Kauli ya Mwenyekiti Edwin Mwanzinga Imekuja Ikiwa ni Siku Mbili tu Tangu Mtandao Huu kuripoti Kuwa Halmashauri ya Mji Njombe Kupitia Kaimu Mkurugenzi Ambaye ni Mhandisi Mkuu wa Halmashauri hiyo Bwana Ibrahim Mkangallah Kuahidi Kwenda Kujenga kwa mAGOGO daraja hilo Agosti 21 bila Mafanikio.

Mwenyekiti Bwana Mwanzinga Amesema Kuwa Hadi sasa hAKUNA  Bajeti ya Ujenzi wa Daraja hilo hivyo kama Wananchi wanawajibu wa kujenga Tena Kwa Mbao na Kuendelea Kulilinda kwa kuzuia mAGARI YENYE Zaidi ya Tani 10 kupita hupo.

 Namna Magogo yalivyo haribika Kwenye Daraja Hilo.


Huu ndio Muonekana wa Daraja Hilo Jinsi Linavyotiririsha Maji.


Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles