WANANCHI KIHESA NJOMBE WATUPIWA MZIGO WA KUJENGA DARAJA.
Mwenyekiti wa Halmashauri ya Mji wa Njombe Bwana Edwin Mwanzinga akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com juu yaUjenzi wa Daraja Hilo leo
Kauli ya Mwenyekiti Edwin Mwanzinga Imekuja Ikiwa ni Siku Mbili tu Tangu Mtandao Huu kuripoti Kuwa Halmashauri ya Mji Njombe Kupitia Kaimu Mkurugenzi Ambaye ni Mhandisi Mkuu wa Halmashauri hiyo Bwana Ibrahim Mkangallah Kuahidi Kwenda Kujenga kwa mAGOGO daraja hilo Agosti 21 bila Mafanikio.
Mwenyekiti Bwana Mwanzinga Amesema Kuwa Hadi sasa hAKUNA Bajeti ya Ujenzi wa Daraja hilo hivyo kama Wananchi wanawajibu wa kujenga Tena Kwa Mbao na Kuendelea Kulilinda kwa kuzuia mAGARI YENYE Zaidi ya Tani 10 kupita hupo.
Namna Magogo yalivyo haribika Kwenye Daraja Hilo.
Kauli ya Mwenyekiti Edwin Mwanzinga Imekuja Ikiwa ni Siku Mbili tu Tangu Mtandao Huu kuripoti Kuwa Halmashauri ya Mji Njombe Kupitia Kaimu Mkurugenzi Ambaye ni Mhandisi Mkuu wa Halmashauri hiyo Bwana Ibrahim Mkangallah Kuahidi Kwenda Kujenga kwa mAGOGO daraja hilo Agosti 21 bila Mafanikio.
Mwenyekiti Bwana Mwanzinga Amesema Kuwa Hadi sasa hAKUNA Bajeti ya Ujenzi wa Daraja hilo hivyo kama Wananchi wanawajibu wa kujenga Tena Kwa Mbao na Kuendelea Kulilinda kwa kuzuia mAGARI YENYE Zaidi ya Tani 10 kupita hupo.
Namna Magogo yalivyo haribika Kwenye Daraja Hilo.
Huu ndio Muonekana wa Daraja Hilo Jinsi Linavyotiririsha Maji.