SPIKA WA BUNGE Bi.Anne Makinda Kuongoza Mazishi ya NEEMA MANGULA Kijijini KinenuloWanging'ombe.
Marehemu Neema Mangula Enzi za Uhai Wake. |



Kushoto ni Marehemu Neema Mangula akiwa Kwenye Picha ya Pamoja na Wageni Mbalimbali Pamoja na Familia Yao.
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi.Anne Makinda Leo Anaongoza Mazishi ya Msiba wa Mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mzee Philip Mangula Katika Kijiji cha Kinenulo Imalinyi Wilayani Wanging'ombe.
Akizungumza na Kituo Hiki leo Katibu wa CCM Mkoa wa Njombe Bwana Hosea Mpagike Amesema Kuwa Marehemu anayefahamika kwa Jina La Neema Mangula anazikwa Katika Kijiji cha Kinenulo Ambapo Spika wa Bunge Anaongoza Msiba Huo Pamoja na Viongozi Mbalimbali wa Kitaifa Akiwemo Waziri wa Ofisi ya Rais Sera na Uratibu Stephen Wasira wakiwemo Viongozi Kutoka Vyama Mbalimbali vya Kisiasa.
Taarifa za Awali zinaeleza Kuwa Neema Mangula (25) amefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Aga Khan Wilayani Ilala wakati akitokea kwenye sherehe ya harusi iliyokuwa ikifanyika katika Ukumbi wa
Waterfront uliopo Gerezani.
Neema alipoteza maisha muda mfupi baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Aga Khan ambako aligundulika kuwa alikuwa amepata majeraha ya ndani.
Aidha Imedaiwa Kuwa Marehemu alikuwa anatoka kwenye harusi na alipofika maeneo ya Aga Khan, alipunguza mwendo kupisha gari lingine lililokuwa mwendokasi, lakini alimfuata upande wake, wakagongana uso kwa uso.
PICHA ZOTE NA MICHUZIblog
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Spika wa Bunge la Jamhuri ya Muungano wa Tanzania Bi.Anne Makinda Leo Anaongoza Mazishi ya Msiba wa Mtoto wa Makamu Mwenyekiti wa CCM Tanzania Bara Mzee Philip Mangula Katika Kijiji cha Kinenulo Imalinyi Wilayani Wanging'ombe.
Akizungumza na Kituo Hiki leo Katibu wa CCM Mkoa wa Njombe Bwana Hosea Mpagike Amesema Kuwa Marehemu anayefahamika kwa Jina La Neema Mangula anazikwa Katika Kijiji cha Kinenulo Ambapo Spika wa Bunge Anaongoza Msiba Huo Pamoja na Viongozi Mbalimbali wa Kitaifa Akiwemo Waziri wa Ofisi ya Rais Sera na Uratibu Stephen Wasira wakiwemo Viongozi Kutoka Vyama Mbalimbali vya Kisiasa.
Taarifa za Awali zinaeleza Kuwa Neema Mangula (25) amefariki dunia juzi usiku kwa ajali ya gari iliyotokea maeneo ya Aga Khan Wilayani Ilala wakati akitokea kwenye sherehe ya harusi iliyokuwa ikifanyika katika Ukumbi wa
Waterfront uliopo Gerezani.
Neema alipoteza maisha muda mfupi baada ya kufikishwa katika Hospitali ya Aga Khan ambako aligundulika kuwa alikuwa amepata majeraha ya ndani.
Aidha Imedaiwa Kuwa Marehemu alikuwa anatoka kwenye harusi na alipofika maeneo ya Aga Khan, alipunguza mwendo kupisha gari lingine lililokuwa mwendokasi, lakini alimfuata upande wake, wakagongana uso kwa uso.
PICHA ZOTE NA MICHUZIblog