Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 3

$
0
0

MBUNGE Wenje atiwa mbaroni kwa kuongoza maandano ya CHADEMA jijini mwanza

Jeshi la Polisi Mkoani Mwanza linamshikilia kwa mahojiano Mbunge wa Nyamagana jijini humo,Mh Ezekiel Wenje kwa madai ya kuongoza maandamano yaliyosambaratishwa na polisi  hapo jana kwa kutumia mabomu ya kutoa machozi.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles