Quantcast
Channel: GABRIEL KILAMLYA
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

BREAKING NEWZZZZ: JPM ATEUA GAVANA MPYA WA BENKI KUU

$
0
0

Rais Dkt. John Pombe Magufuli, ametangaza kuteua Profesa Florens Luoga kuwa Gavana wa Benki Kuu ya Tanzania akipokea kijiti kutoka kwa Gavana wa awali, Profesa Benno Ndulu.
Rais Dkt. Magufuli ametangaza uteuzi huo wakati wa hafla fupi ya kukabidhi vyeti kwa Kamani ya zilizofanya uchunguzi wa kiwango, aina na thamani ya madini katika makinikia yaliyopelekea mazungumzo na Kampuni ya Barrick Gold.

Profesa Luoga alikuwa ni mmoja wa Wajumbe wa Kamati hiyo.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Trending Articles