Ofisi za Uhamiaji Mkoa wa Njombe
Wahamiaji Haramu Toka Nchini Ethiopia Wakiwa Katika Ofisi za Uhamiaji Mjini Makambako Kwa Mahojiano Leo
Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani Njombe Bi. Rose Mhagama.
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Idara ya Uhamiaji Mkoani Njombe Hii Leo Imewarejesha Nchini Kwao Raia 21 wa Ethiopia Waliokamatwa Agosti 14 Mwaka Huu Mjini Makambako Kwa Tuhuma za Kuingia Nchini Kinyume cha Sheria Pasipo Kuwafikisha Mahakamani.
Akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com Ofisini Kwake Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani Njombe Bi. Rose Mhagama Amesema Wameamua Kuwarejesha Kwao Raia Hao Pasipo Kuwafikisha Mahakamani Kwa Kuzingatia Vigezo Mbalimbali Ikiwemo Kupunguza Gharama za Kuwatunza Waethiopia Hao
Naibu Kamishina Huyo wa Uhamiaji Amesema Mara Baada ya Kukamilika Kwa Kuwarejesha Raia Hao Wamiliki wa Gari Lililotumika Kuwasafirisha Waethiopia Hao Ambao ni Kampuni ya Evelest ya Jijini Dar Es Salaam Watachukuliwa Hatua za Kisheria.
Aidha Bi. Mhagama Amesema Kuwa Licha ya Kuwa Jukumu la Kudhibiti Uingiaji wa Raia wa Kigeni Kinyume cha Sheria ni la Serikali Lakini, Naibu Kamishina Huyo wa Uhamiaji Amewaomba Wananchi Kuendelea Kushirikiana na Vyombo Vya Sheria Kuwabaini Watu Wanaojihusisha na
Matukio ya Kuwafarisha Raia Hao.
Raia Hao 21 wa Ethiopia Walikamatwa Agosti 14 Katika Halmashauri ya Mji wa Makambako Ikiwa ni Sehemu ya Raia 46 Waliokamatwa Mkaoni Njombe Tangu Mwezi Disemba MWaka Jana Hadi Sasa Huku Idadi Kubwa ya Raia Hao ni Kutoka Nchi ya Ethiopia Wakiwa na Lengo la Kufika Nchi za Afrika Kusini na Malawi.
Wahamiaji Haramu Toka Nchini Ethiopia Wakiwa Katika Ofisi za Uhamiaji Mjini Makambako Kwa Mahojiano Leo
Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani Njombe Bi. Rose Mhagama.
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Idara ya Uhamiaji Mkoani Njombe Hii Leo Imewarejesha Nchini Kwao Raia 21 wa Ethiopia Waliokamatwa Agosti 14 Mwaka Huu Mjini Makambako Kwa Tuhuma za Kuingia Nchini Kinyume cha Sheria Pasipo Kuwafikisha Mahakamani.
Akizungumza na www.gabrielkilamlya.blogspot.com Ofisini Kwake Naibu Kamishina wa Uhamiaji Mkoani Njombe Bi. Rose Mhagama Amesema Wameamua Kuwarejesha Kwao Raia Hao Pasipo Kuwafikisha Mahakamani Kwa Kuzingatia Vigezo Mbalimbali Ikiwemo Kupunguza Gharama za Kuwatunza Waethiopia Hao
Naibu Kamishina Huyo wa Uhamiaji Amesema Mara Baada ya Kukamilika Kwa Kuwarejesha Raia Hao Wamiliki wa Gari Lililotumika Kuwasafirisha Waethiopia Hao Ambao ni Kampuni ya Evelest ya Jijini Dar Es Salaam Watachukuliwa Hatua za Kisheria.
Aidha Bi. Mhagama Amesema Kuwa Licha ya Kuwa Jukumu la Kudhibiti Uingiaji wa Raia wa Kigeni Kinyume cha Sheria ni la Serikali Lakini, Naibu Kamishina Huyo wa Uhamiaji Amewaomba Wananchi Kuendelea Kushirikiana na Vyombo Vya Sheria Kuwabaini Watu Wanaojihusisha na
Matukio ya Kuwafarisha Raia Hao.
Raia Hao 21 wa Ethiopia Walikamatwa Agosti 14 Katika Halmashauri ya Mji wa Makambako Ikiwa ni Sehemu ya Raia 46 Waliokamatwa Mkaoni Njombe Tangu Mwezi Disemba MWaka Jana Hadi Sasa Huku Idadi Kubwa ya Raia Hao ni Kutoka Nchi ya Ethiopia Wakiwa na Lengo la Kufika Nchi za Afrika Kusini na Malawi.