VIJANA WATAKIWA KUOGOPA VISABABISHI VYA MACHAFUKO YA NCHI
.Ni kauli ya Wazee Waliopigana Vitani
.Kumbukumbu ya Mashujaa

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kasimama kikakamavu wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwela ngao kwenye mnara wakati wa Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Rais wa Zanzibar na Mwenyekiti wa Baraza la Mapinduzi Dkt. Mohamed Ali Shein kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo. Wengine ni
Makamu wa Rais Dkt Mohamed Ghalib Bilali na Waziri Mkuu Mzengo Pinda leo Julai 25, 2014

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akisalimiana na Waziri Mkuu Mstaafu Mhe Frederick Sumaye kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo.Wengine toka kushoto ni Makamu wa Kwanza wa Rais wa Zanzibar Mhe Maalim Seif Shariff Hamad, Jaji Mkuu wa Tanzania, Mhe Mohamed Chande Othman na Jaji Mkuu wa Zanzibar Mhe omar Othman makungu leo Julai 25, 2014

Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiamkiana na wazee wa Tanzania Legion waliopigana katika vitra kuu ya dunia ya pili waliohudhuria kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014
Amiri Jeshi Mkuu Rais Jakaya Mrisho Kikwete akiwa kasimama kikakamavu wakati wimbo wa Taifa ukipigwa kwenye Maadhimisho ya siku ya Kumbukumbu ya Mashujaa yaliyofanyika katika bustani ya Mnazi mmoja jijini Dar es salaam leo Julai 25, 2014.
kwa hisani ya jiachie blog
Na Gabriel Kilamlya Njombe
Wakati Tanzania Ikiadhimisha Kumbukumbu ya Mashujaa Waliofariki Wakati wa Vita Mbalimbali Ikiwemo ya Tanzania na Uganda Mwaka 1978 , Baadhi ya Wazee Mjini Njombe Waliopigana Vita Hiyo Wamewaasa Wananchi Kuendelea Kulinda na Kutunza Amani na Utulivu Uliopo Nchini
Wakiongea na www.gabrielkilamlya.blogspot.com Baadhi ya Wazee Hao Akiwemo Mzee Benedict Mbeyela Wamesema Hakuna Kinachoweza Kufanyika Nchini Bila ya Kuwepo Kwa Amani Huku Wakiwataka Vijana Kuacha Tabia ya Kujiingiza Kwenye Machafuko Yanayoweza Kusababisha Vita.
Nako Mkoani Mbeya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro Amewasa Wananchi Kutunza Amani , Huku Akiwaomba Viongozi wa Dini na Wanasiasa Mkoani Humo Kuhakikisha Wanawaongoza Wananchi Wao Kwa Kufuata Sheria za Nchi Kama Zinavyoelekeza .
Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashujaa Hufanyika Julai 25 Kila Mwaka Ambapo Kitaifa Madhimisho Hayo Yamefanyika Katika Viwanja Vya Mnazi moja Jjijini Dar Es Salaam Huku Rais Jakaya Kikwete Akiwa Mgeni Rasmi.
Wakiongea na www.gabrielkilamlya.blogspot.com Baadhi ya Wazee Hao Akiwemo Mzee Benedict Mbeyela Wamesema Hakuna Kinachoweza Kufanyika Nchini Bila ya Kuwepo Kwa Amani Huku Wakiwataka Vijana Kuacha Tabia ya Kujiingiza Kwenye Machafuko Yanayoweza Kusababisha Vita.
Nako Mkoani Mbeya Mkuu wa Mkoa wa Mbeya Abbas Kandoro Amewasa Wananchi Kutunza Amani , Huku Akiwaomba Viongozi wa Dini na Wanasiasa Mkoani Humo Kuhakikisha Wanawaongoza Wananchi Wao Kwa Kufuata Sheria za Nchi Kama Zinavyoelekeza .
Maadhimisho ya Kumbukumbu ya Mashujaa Hufanyika Julai 25 Kila Mwaka Ambapo Kitaifa Madhimisho Hayo Yamefanyika Katika Viwanja Vya Mnazi moja Jjijini Dar Es Salaam Huku Rais Jakaya Kikwete Akiwa Mgeni Rasmi.