Quantcast
Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276

Article 0

  IRINGA YAWAKA MOTO NA UKAWA

Image may be NSFW.
Clik here to view.
Image may be NSFW.
Clik here to view.

 

Image may be NSFW.
Clik here to view.
ukawa_97651.jpg

Viongozi wa Umoja wa Katiba ya Wananchi (Ukawa), wameapa kuendelea kudai mfumo wa Muungano wa serikali tatu nje ya Bunge la Katiba kwa nguvu zote, ikiwamo kufanya maandamano ya amani nchi nzima.

Msimamo huo ulielezwa na viongozi hao kwa nyakati tofauti katika mkutano wa hadhara uliofurika mashabiki kwenye Viwanja vya Mwembetogwa katika Manispaa ya Iringa, mkoani Iringa jana.

Mwenyekiti Mwenza wa Ukawa, Profesa Ibrahim Lipumba alisema wajumbe wa Ukawa wameamua kujitoa bungeni kutokana na kauli mbalimbali za CCM ambayo alidai kuwa waliibeza na kuidhalilisha Tume ya Warioba.
Image may be NSFW.
Clik here to view.
ukawa.jpg5_3b022.jpg

Image may be NSFW.
Clik here to view.
ukawa.jpg6_3e582.jpg

Image may be NSFW.
Clik here to view.
ukawa.7_4b0fa.jpg

Wakazi wa Manispaa ya Iringa wakirudi makwao baada ya kumalizika kwa mkutano wa hadhara jana jioni.

Viewing all articles
Browse latest Browse all 2276