Mwenyekiti wa Umoja wa Magereza Afrika, Kaimu Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Afrika Kusini, Nontsikelelo Jolingana akitoa hoja ya kufungua rasmi Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza Afrika unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014. Kikao hicho kimefanyika hivi karibuni Mwishoni mwa mwezi Februari, 2014 Nchini Afrika Kusini na kuhudhuliwa na Nchi Wanachama ikiwemo Tanzania.


Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza Afrika unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014.

Sekretarieti Kuu ya Umoja wa Vyombo vya Urekebishaji/Magereza Afrika wakiwa katika picha ya pamoja na Wakuu wa Vyombo vya Urekebishaji/Magereza Afrika mara baada ya kufungwa rasmi kwa Kikao cha Maandalizi ya Kikao cha Maandalizi ya Mkutano Mkuu wa Wakuu wa Magereza unaotarajiwa kufanyika Nchini Msumbiji Julai 2014(wa tatu toka kulia mstari wa nyuma) ni Kamishna Jenerali wa Magereza Nchini Tanzania, John Casmir Minja.(Picha zote na Lucas Mboje wa Jeshi la Magereza).