MAANDALIZI YA SIKU YA MAPINDUZI YAPAMBA MOTO.![]()
Baadhi ya wanafunzi wa halaiki wa skuli mbali mbali za Zanzibar na Tanzania Bara wakijiandaa kwa ajili ya sherehe za mapinduzi ifikapo Januari 12 mwaka huu wa 2014.
Gari za Polisi zinazotumika wakati wa fujo na vurugu katika maeneo mbali mbali nchini zikiwa katika matayarisho ya mwisho kwa ajili ya sherehe za kutimia miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar zitakazofanyika huko uwanja wa Amani Mjini Zanzibar.

ijeba wa Jeshi la Wananchi wa Tanzania {JWTZ } wakionyesha umwamba wao wakati wa matayarisho ya mwisho ya maadhimisho ya kutimia miaka 50 ya Mapinduzi ya
Zanzibar.


Askari wastaafu wa Jeshi la Ukombozi la Unguja { JLU } ambalo linatarajiwa kuonyesha vitu vyao wakati wa kilele cha maadhimisho ya sherehe za kutimia miaka 50 ya Mapinduzi ya Zanzibar

Picha na Hassan Issa wa – OMPR – ZNZ.